Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
Kwahiyo Bashite ni playboy wa ukweli?[HASHTAG]#playboy[/HASHTAG] wa kweli hatii mimbaa maana hatotaka kuwaspoil warembo wa kweli ka battery za nokia torch znavyoumuka
Sheria feki kabisa hii... wa kitaa ndo safi unagonga mpaka na mashosti zake.Sheria kuu usitongoze demu wa mtaani kwako
Mkuu kama hujawahi kuwa playboyb huwaezi kuelewa wanapita mademu wa kitaa ni wale wanaotafuta proud ila ukiwa mkali wa hii kazi utaelewaSheria feki kabisa hii... wa kitaa ndo safi unagonga mpaka na mashosti zake.
Bado hujapata uzoefu wewe... tuulize wazoefu tukupe mbinu.Mkuu kama hujawahi kuwa playboyb huwaezi kuelewa wanapita mademu wa kitaa ni wale wanaotafuta proud ila ukiwa mkali wa hii kazi utaelewa
Sheria feki kabisa hii... wa kitaa ndo safi unagonga mpaka na mashosti zake.


Napima vipaji vya hawa madogo. Sioni kama tutapata warithi wa kweli.
Ndiyo maana sijatia neno yaani hiyo nayo ni sheria kweli? Sasa usipokula wa mtaani Utakula wapi?Napima vipaji vya hawa madogo. Sioni kama tutapata warithi wa kweli.
MmmmHa ha ha ha jf haijawai kuniboa. nipo kwenye hiace narudi nyumbani nashangaa abiria wanaangalia huku na huko wanamtafuta aliye toa harufu kumbe mimi nimej.a.m.b* kwa siri.

umezidi1.Usiku mmoja unatosha na sio zaidi.
Usifanye mapenzi zaidi ya mara 1 na huyo mwanamke.
2.Usizame penzini sana kwa mwanamke yeyote.
3.Ukimalizana nae futa na poteza kabisa mawasiliano nae.
4.Usimpeleke nyumbani kwako.
Wengi imewaletea matatizo hii, ukiwa kama playboy basi lodge au nyumbani kwa rafiki zako ndipo pahusike sana.

kaa haya bana