Mpenzi wangu kaota nimekufa

Mpenzi wangu kaota nimekufa

Unampenda kweli au unataka kumla tu? Kama kumla tu muache akae alivyojiamulia bali kuwa rafiki yake wa kusalimiana ajue unamjali na upo poa nae.

Usisahau kumuuliza ndoto zake akiota zinatokea au la.
 
Namaifu sana huyo mwamke wako aiseeeee........
Anaonekana anakuzidi akili na ujanja, na bila shanapa nawewe ume prove kwa kutuandikia huu uzi.
Wanawake wanapenda wanaume maboya kama wewe aiseeeee....
Ahsante kwa mawazo yako pia ila sijaona uboya wangu nishauri cha kufanya
 
Kama umeishiwa na nguvu inamaana utakufa tu mkuu. Papuchi ulioitamani mda mrefu iende na mtu mwengine kwa urahiiisiiii.
 
Namaifu sana huyo mwamke wako aiseeeee........
Anaonekana anakuzidi akili na ujanja, na bila shanapa nawewe ume prove kwa kutuandikia huu uzi.
Wanawake wanapenda wanaume maboya kama wewe aiseeeee....
Kumbe mkuu ndo maana yesu aliona mbali sana kutokuwa na mwanamke eehh!
 
WABONGO TUWENI NA USTAARABU ,HATA KUOTA MNALETE HUMU, JE NI AKILI ZETU KWELI
 
Kichwa cha habari na maelezo ya ndani havioani vzr. Ulimpiga chini kwa kunyimwa papuchi yakaisha sasa unamwitaje mpenzi wako?
Anyway ndoto zipo nyingi itategemea yy anahisi inatoka kwa Mungu?
 
Tafsir ya hyo ndoto sio kifo kama unachojua wewe ila ni kifo cha mapenzi yenu kuna dalili mbaya mbele ya safari ili kuepuka kua mwangalifu na mambo yko acha kuchepuka kazana kusali/kuswali
 
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, nina mpenzi wangu tuliachana naye kwa kwa muda wa mwezi mmoja kisa aliniambia sex mpaka ndoa basi bwana mimi nikasema isiwe kesi nakamkaushia mazima sikumtafuta wala nini nashangaa siku moja usiku wa manane saa nane akanitafuta na kuniomba msamaha kwa yote aliyonifanyia na kusema kuwa anaitaji nimsamehe basi baada ya siku nne nikamjibu nikasema sawa sote ni binadamu na hakuna binadamu mkamilifu nikaamua kumsamehe nashangaa jana ananiita na kusema nimekuomba msamaha kwa sababu nimekuota umekufa nilishiwa nguvu ghafla na nikamjibu sawa kama kuna mipango ya mungu tumwachie yeye. Hili likoje mpenzi wako kukuotea umekufa?
Omba kemea roho ya mauti
 
Back
Top Bottom