Sixpack 44
Member
- May 4, 2017
- 33
- 26
Maintain standard yako kwa unavyoongea hujawai kumcheat ni wazi hapo kazini wanaulizana flan nani anamgonga sasa ndio akatokea bingwa akatangaza lazima akupate na every step mnayofikia Kuna posibility mshakaji anawaambia bado kidogo tu ntamla
kwa akili ya kawaida mtu anajua umeolewa alafu anakutongozaje
bora uumie kwa kutompa papa heshima yako iongezeke kuliko kuumia ofisini ikijulikana ushagongwa just say NO
kwa akili ya kawaida mtu anajua umeolewa alafu anakutongozaje
bora uumie kwa kutompa papa heshima yako iongezeke kuliko kuumia ofisini ikijulikana ushagongwa just say NO