"Nimeshinda Ligi Kuu Nchi mbili tofauti...,, Mimi sio Muingereza na sijawahi cheza Ujerumani...,, Nimeshinda pia World Cup na CHAMPIONS LEAGUE...,, Nishawahi kucheza na KAKA pamoja na ROBINHO ila sijawahi kabisa kucheza na MESSI wala RAMOS.....,, Nishafundishwa na MOURINHO lakini sijawahi...