yan wanaume wote ndo wako hivyohvyo,tena ukikuta ana wawili tu ushangae
lakin mahusiano yao ya zaman hayavunjikagi
mimi mtu wa hivyo naomba laana juu yake
maana unajikuta wewe mwaminifu halafu yeye kiruka njia
sorry guys for saying ths..
Yan huu ni ukweli kabisa umenigusa mimi!wanaume wa dizain hii ni ukweli mtupu!wacheshi,kukuzoea dakika 1,malaya,utani unaumiza (af dakika amejirudi akijua amekuboa)kujisahau mlipokutana basi
kwa vile anabahat anpata mafanikio haraka unakuta anaonesha kuk
uringia,dharau!yani hili li
menigusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.