Recent content by sapiesia

  1. S

    Anasa darini akijaribu kuiba Dukani

    hakuna uchawi hapo jamani mtu kanasa kweny hizo nondo ni nyembamba inaonekana kabisaa..kusema wakinga wachawi si vyemaa
  2. S

    Mwenyekiti wa CCM USA afungwa kwa wizi wa 1.5 billion

    hee kwa hiyo akina phanuel wamepona? afadhali duh
  3. S

    2 Md. residents plead guilty in mortgage fraud scheme

    Du pole yake phanuel,tulisikia Ana PhD kumbe tapel?weloooo
  4. S

    New Boko Haram video emerged

    Hizi dini nyingine bwana,mara boko haram mara alkaida mara cjui nini.. Tumechokaaa kwanini hamjiamini?? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  5. S

    Nahitaji kupata ujauzito

    utafiti Az 89 thanks
  6. S

    Nahitaji kupata ujauzito

    Opaque acha hzo
  7. S

    Nahitaji kupata ujauzito

    JF Dr habari,kwa kifupi tangu nimeolewa miezi 6 sasa cpati mimba na ninashiriki tendo kikamilifu hasa tarehe za hatari.msaada tafadhali
  8. S

    mchumba wangu na demu wake wa zamani

    yan wanaume wote ndo wako hivyohvyo,tena ukikuta ana wawili tu ushangae lakin mahusiano yao ya zaman hayavunjikagi mimi mtu wa hivyo naomba laana juu yake maana unajikuta wewe mwaminifu halafu yeye kiruka njia sorry guys for saying ths..
  9. S

    Mke afya OK, mume low sperm count - ushauri please

    Just take Anoyting Water from T.B Joshua and believe in Jesus Christ
  10. S

    Nauza gari suzuki wagoni cc 990 bei poa

    mafuta tu ndo uzuri wa hz gari jaman
  11. S

    Kuna uhusiano gani kati ya ukubwa wa maumbile na viungo vya uzazi?

    uminichekesha m tu wangu weye?hahaha upana huo wa kiaje unapoingia au ile something inavyoonekana? Maana ni vitu viwili tofaut hapo
  12. S

    Wanaume wenye sura hii wanapenda kwa msimu na kukinai…!

    Yan huu ni ukweli kabisa umenigusa mimi!wanaume wa dizain hii ni ukweli mtupu!wacheshi,kukuzoea dakika 1,malaya,utani unaumiza (af dakika amejirudi akijua amekuboa)kujisahau mlipokutana basi kwa vile anabahat anpata mafanikio haraka unakuta anaonesha kuk uringia,dharau!yani hili li menigusa...
Back
Top Bottom