BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
dah.....
Wanawake akili zenu ziko wapi?
Huna mchumba hapo sepa
Wanawake akili zenu ziko wapi?
Huna mchumba hapo sepa
Chamno nijinsi alivyomsave kwenye simu zake, moja kaandika jina kamili, kwingine anakojua nitaiona kwa urahisi kamsave mgosi moro, duh!!
umemshauri vizuri beyond normal! hajui kama jamaa anaweza kubadili mawazo na kumuoa wa zamani? jamaa ni kiboko maana hataki kumpoteza wa zamani na hii inaonesha kuwa huenda hata huyu mupya hajamuingiza katika fikra zake moja kwa moja!Kwa nini usisubiri uolewe kwanza?
ili uwe na haki ya kulalamika?
so far now wote ni wachumba,mna haki sawa
labda hajafanya uamuzi a settle na yupi..
U deserve better than that,mwache tuu koz inaonekana yuko upande wa huyo mwengine na si wakoanaponiacha hoi ni pale nilipomwambia ampigie aongee nae nikisikia akagoma.
yan wanaume wote ndo wako hivyohvyo,tena ukikuta ana wawili tu ushangaeHello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,
nili
mpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi napata ninashida gani? na kweli nilikamata msg za mpesa.
na bado anaendelea kuwasiliana, huyu mchumba anasema ati atamuacha taratibu, kwe
li hapo nifanyeje?
Hello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,
nilimpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi napata ninashida gani? na kweli nilikamata msg za mpesa.
na bado anaendelea kuwasiliana, huyu mchumba anasema ati atamuacha taratibu, kweli hapo nifanyeje?
kha!!! Wewe nae ebu ionehuruma nafsi yako. Njoo huku kwangu nikupe mapenzi ya kweli. Mahawara hawaachani
Hello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,
nilimpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi napata ninashida gani? na kweli nilikamata msg za mpesa.
na bado anaendelea kuwasiliana, huyu mchumba anasema ati atamuacha taratibu, kweli hapo nifanyeje?
Hello wana Jr, nisaidieni kwa hili, naumia sana bado mchumba wangu ana mawasiliano na mwanamke wake wa wazamani,
nilimpigia sim yule dada na kumhoji kijifanya sio mimi mlengwa ila mlengwa analalamika, dada yule akasema kwani yeye hana hiana aoe yeye atakuwa wa pembeni. kwanza mie matumizi napata ninashida gani? na kweli nilikamata msg za mpesa.
na bado anaendelea kuwasiliana, huyu mchumba anasema ati atamuacha taratibu, kweli hapo nifanyeje?
oooh ww mdanganye mwenzio, atapata kichapooo!