Binafsi sijajua niko upande gani hasa nikijaribu kujiuliza maswali yafuatayo:
1- Je, kama akishinda Odinga, nini maamuzi ya Kenyatta & chama chake?
2- Je, Kama akishinda Kenyatta: Nini nafasi ya Odinga & mahakama,
Na je itakuaje kuhusu garama zilizotumika kurudia uchaguzi?
3- Amani ya...