Sasa wewe umetuchanganya. So UDSM jumla wanatoa First Class ngapi?Nimesema Jumla bwana
Kile chuo kimenitesa sana mkuu siwezi kukisahau daima japo now nipo sehemu nawashukuru sana kwa kifupi wapo vizuri.Shule ya IFM ndugu isikie tu hivyo hivyo. Ukiingia pale shile ikichanganya utaomba japo upige karai zako tu za kutosha usidakwe. Ile shule ukitoka pale huwa hata hakuna haja ya kuajiriwa
UDSM hata kama uko vzuri wanakufelisha kusudi mkuu. Wanaamini kufelisha ndo ubora wa chuo
Pale hakuna anaekubembeleza kuja chuo, kufanya presentation wala chochote. Wewe fanya ufyokolo wako ukitegemea kuna make up test uone utavyorudi kwenuKile chuo kimenitesa sana mkuu siwezi kukisahau daima japo now nipo sehemu nawashukuru sana kwa kifupi wapo vizuri.
Una uhakika na hilo bibie ?
Tena ukimbie test ukitegemea utafanya special siku matokeo yakitoka unaona incomplete inaninginiaPale hakuna anaekubembeleza kuja chuo, kufanya presentation wala chochote. Wewe fanya ufyokolo wako ukitegemea kuna make up test uone utavyorudi kwenu
Wajomba wa pale hawanaga time na mtu, nyie mfeli hata darasa zima wao wanasonga tu. Hakuna cha kuuliza imekuwaje wala nini. Prof Mjema kama bado upo IFM, heshima kwakoTena ukimbie test ukitegemea utafanya special siku matokeo yakitoka unaona incomplete inaninginia
Mkuu kama watu wamefaulu na kupata maGPA ya ajabu basi haina haja ya kupinga, kama vipi tubadilishe mfumo wa mitihani ya vyuo vikuu.Mkuu umenikumbusha Chuo cha Teophil Kisanji, kwa staili hii vyuo vya private vitapiga hela balaa.
Waliosoma IFM wakitoka pale wameiva, sikisifii ila ukweli ni huo tu wanakwambia wanatoa competent studentsWajomba wa pale hawanaga time na mtu, nyie mfeli hata darasa zima wao wanasonga tu. Hakuna cha kuuliza imekuwaje wala nini. Prof Mjema kama bado upo IFM, heshima kwako