Recent content by samwelj

  1. samwelj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari za jion wakuu? Naomba kuuliza hivi:- NI KAMPUNI GANI ZA KU-BET HAPA BONGO ZINARUHUSU KU-deposite NA KU-withdraw PESA KUPITIA EITHER M-PESA,TIGO-PESA AU AIRTEL-MONEY? MIM HUWA NATUMIA meridianbet SO NAPENDA KUFAHAMU KAMPUN ZINGINE ILI NIWEZE Kuweka NA Kutoa pesa hata huku Minoan...
  2. samwelj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwema wakuu Hii ina maana gan?:- 1 & GG AU 2 & GG
  3. samwelj

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu mm n mgen kwenye betting nimesha register account na imekuwa activated meridianbet.co.tz Ningependa kufahamu:-kama nitabet mechi labda 6 kwa dau la 1000,je,ninahitaj mech ngap nishinde ili kupata pesa Na inawezekana mtu akashinda mpaka 500,000/- kwa dau labda la 1000/- Naomba mnisaidie...
  4. samwelj

    Msanii darasa anatoka/amezaliwa mkoa gani?

    Fafanua vizur mkuu
  5. samwelj

    Nimemhonga msichana simu na bado amenitosa, naweza kumripoti polisi?

    Mbona anakupenda mkuu wewe hauoni mpaka night ukimwita anatoka[emoji3] [emoji3]
  6. samwelj

    Gharama za kuleta bidhaa kutoka China

    Asante na nmekuelewa sana mkuu
  7. samwelj

    Nimemhonga msichana simu na bado amenitosa, naweza kumripoti polisi?

    Hapo unataka nin? Unataka simu yako au Unataka papuchi mkuu
  8. samwelj

    Gharama za kuleta bidhaa kutoka China

    Namim nategemea kuagiza home theatre kutoka soko la eBay na wanitumie kwa njia ya posta huku mkoan..Je, 1.Nitaweza kupata ndan ya siku 7? 2.Vip kuhusu gharama za usafirishaj(15kg) estimation? 3.Nipo mkoan,je,jamaa wa posta watanidai kodi? 4.Posta zetu bongo zinapokea mizigo ya mwisho kilogramu...
  9. samwelj

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kumbe tunaanza statement kwa kutumia neno la mwisho kwa mtu aliyekutangulia
  10. samwelj

    Natafuta kazi ya uuguzi

    Kuwa mvumilivu,ajira zitatoka tu
  11. samwelj

    Msichana wangu ananionea aibu saba, nini dawa yake

    Huyo anapretend mkuu.Nakushaur jaribu kumfuatilia mienendo yake.
  12. samwelj

    Nini lengo la mheshimiwa Rais kwa watumishi wa Umma?

    Standing orders for public service 2009 kipengele H.8-9 kinaeleza kuhusu annually salary increments. Kimefafanua zaidi kwa kusema salary increment inatakiwa iwepo kila mwaka wa serikali ila hiyo increments itolewa kwa mtumishi kwa kuzingatia "performance appraisal'',kama mwajiri ataridhika nayo...
Back
Top Bottom