Msichana wangu ananionea aibu saba, nini dawa yake

Msichana wangu ananionea aibu saba, nini dawa yake

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,040
Reaction score
13,367
ASALAAM WAKUU,
Ni hivi nina mchumba nipo nae mwaka wa tatu hu, tatizo kubwa ndio hilo yaani aibu kwangu haikatiki tangu nimtokee, athubutu kuongea nami live ila kwenye simu tu anaongea maneno elfu kidogo, na pia nikikutana nae kama kuna uwezekano lazima anikwepe haniangalii usoni mara mbili, kinacho nikera akiwa na watu wengine ni muongeaji mzuri tu. wenye EXPIRIENSI nishaurini dawa yake
 
Kuna kitu ana ficha
Au
Ndio ana kupenda hadi anashindwa kuongea na wewe

Mchunguze zaid
 
ASALAAM WAKUU,
Ni hivi nina mchumba nipo nae mwaka wa tatu hu, tatizo kubwa ndio hilo yaani aibu kwangu haikatiki tangu nimtokee, athubutu kuongea nami live ila kwenye simu tu anaongea maneno elfu kidogo, na pia nikikutana nae kama kuna uwezekano lazima anikwepe haniangalii usoni mara mbili, kinacho nikera akiwa na watu wengine ni muongeaji mzuri tu. wenye EXPIRIENSI nishaurini dawa yake


Inategemea, labda haumpi chance ya kuongea. Au hajakuzoea. Vile vile mtu ukimpenda sana hata sauti haitoki. Unaona kila utakacho sema utakosea na kumumiza mwenzio.
 
Kumbe siku hizi wewe ndiyo uko nae Mkuu?

Sijui yule mtoto ana tatizo gani mkuu maana hata kipindi niko nae alikuwa analeta hizo pigo aisee nikaona mishocho nikapiga chini.

Nikaamua niachane nae maana mtu gani asiyetaka kuongea.
 
ASALAAM WAKUU,
Ni hivi nina mchumba nipo nae mwaka wa tatu hu, tatizo kubwa ndio hilo yaani aibu kwangu haikatiki tangu nimtokee, athubutu kuongea nami live ila kwenye simu tu anaongea maneno elfu kidogo, na pia nikikutana nae kama kuna uwezekano lazima anikwepe haniangalii usoni mara mbili, kinacho nikera akiwa na watu wengine ni muongeaji mzuri tu. wenye EXPIRIENSI nishaurini dawa yake
Mkuu mi sijaelewa hapo kuna msichana na mchumba wee heading umesema msichana na uzi ukasema mchumba sasa hapo tukueleweje!
 
Kumbe siku hizi wewe ndiyo uko nae Mkuu?

Sijui yule mtoto ana tatizo gani mkuu maana hata kipindi niko nae alikuwa analeta hizo pigo aisee nikaona mishocho nikapiga chini.

Nikaamua niachane nae maana mtu gani asiyetaka kuongea.
Mmmmh ukimtaja jina tu NAKUTIGOPESA HAPO HAPO
 
si ishi nae na ni under 18 NA kingine nilichosahau mfano nikamkuta hv gafla atashtuka kinoma hata pozi litamuishia hapo hapo siku moja nilimshika gafla alipogeuka akakuta mimi ilikua kidogo azimie
 
si ishi nae na ni under 18 NA kingine nilichosahau mfano nikamkuta hv gafla atashtuka kinoma hata pozi litamuishia hapo hapo siku moja nilimshika gafla alipogeuka akakuta mimi ilikua kidogo azimie
Pole sana,umeuziwa mbwa kwenye gunia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom