Aisee...kuna baadhi ya ma h/g wanakuja wamechoka shingo zimewatoka kisha wakikaa muda wa miezi miwili dah...body linaachia...msambwanda unakubali. Inaumaa ukisikia kuna msela unakula...ni kama una hisa pale...umehusika katika kuongoze value. Baba inabidi atleast afungulie kwanza kabla mijitu...
JF katika ubora wake.....stress free zone. Mshkaji umeuaaaaaaaa...kofuli kuvaa kichwani kama cowboy mzeiyaa inaongeza mzuka..kweli hii dunia tunatofautiana.
Degree lazima ziheshimiwe....prof big up. Hizi elimu za kuunga unga zinatusumbua sana makazini. Mijitu iliyopitia elimu za kuunga ni tatizo kubwa....ndio wabishi wa mabadiliko. Kwanza umri unakua umeenda sana. Natupa jiwe gizani wakuu...samahani kama nimekugusa.
Single source procurement limit ni Mil 300. Hiyo pesa itaingizwa direct Msd na order itaandikwa na kusainiwa na proper singnatories wawili then kusubiri Msd wadelive mzigo. Hamna quotations hapo Untill Msd wadeclare out of stock hizo commodities.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.