Baba mwenye nyumba kutembea na beki tatu ni haki yake

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
6,002
19,462
Sijui wanawake na baadhi ya watu wanatoa wapi msingi wa kuwalaumu baba nyumba baada ya kuwatafuna beki tatu

Nimejaribu kupitia maandiko matakatifu nikaona baadhi ya watu maarufu walikula beki tatu na bado Mungu alipendezwa na hicho kitendo walichofanya.

Baba wa imani, Ibrahim alikula beki tatu wake na bado Mungu alimpongeza Ibrahim kwa kitu alichokifanya.

Maandiko yanaonyesha kua beki tatu ni sehemu ya marupu rupu ya ndoa(marriage incentives) kwa baba mwenye nyumba. Maandiko yanaenda mbali kabisa na kuonyesha kua beki tatu sio kumsaidia mama nyumba kazi za ndani peke yake, anatakiwa pia kumsaidia mama nyumba majukumu yake ya ndoa,rejea Ibrahim na sara.

Hivyo kina mama, baba ikitokea dharula akatafuna beki tatu huna haja ya kumlaumu, ni sehemu ya marupurupu yake.

NB. House boy haruhusiwi kula mama nyumba maana huo ni utovu wa nidham wa kiwango cha juu, house boy wote wanatakiwa kua kama Yusufu alivyokua kwa mke wa farao. Wakiwa hivyo baadae Mungu huwainua na kuwapa kazi kubwa.

Hii mada iko well referenced and researched, uibishie kwa hoja.
 
Naona mnachimbua biblia ili kuhalalisha uzinzi wenu, basi ndoa za kikristo zisinge kua za mke mmoja kama kuna dharula ambazo inabidi mtembee na mahousegirl wenu!! Halafu unafananisha enzi za Ibrahim na sasa...dunia imechange..magonjwa yamekua mengi, tulia na familia yako.
 
Naona mnachimbua biblia ili kuhalalisha uzinzi wenu, basi ndoa za kikristo zisinge kua za mke mmoja kama kuna dharula ambazo inabidi mtembee na mahousegirl wenu!! Halafu unafananisha enzi za Ibrahim na sasa...dunia imechange..magonjwa yamekua mengi, tulia na familia yako.
Hakuna ndoa ya mke mmoja. Wala hakuna mahala panasema uoe mke mmoja. Walioagizwa kuoa mke mmoja ni maaskofu tu, wewe sio askofu mke mmoja anakuhusu nini?
 
Hakuna ndoa ya mke mmoja. Wala hakuna mahala panasema uoe mke mmoja. Walioagizwa kuoa mke mmoja ni maaskofu tu, wewe sio askofu mke mmoja anakuhusu nini?

Imani yetu ya kikristo inatuambia ndoa ni ya mke mmoja na mume mmoja, ni uzinzi tu ndiyo unawasumbua mpaka mnaanza kuangaika kwenye biblia.....ma h/g muwaache wale ni watoto zenu wamekuja pale kulelewa, kama mnaona hamuezi kutulia na wake zenu basi kaangaikeni hukoo ila sio ndani ya nyumba humo humo!!
 
Aisee...kuna baadhi ya ma h/g wanakuja wamechoka shingo zimewatoka kisha wakikaa muda wa miezi miwili dah...body linaachia...msambwanda unakubali. Inaumaa ukisikia kuna msela unakula...ni kama una hisa pale...umehusika katika kuongoze value. Baba inabidi atleast afungulie kwanza kabla mijitu mingine haijaingia.
 
Sijui wanawake na baadhi ya watu wanatoa wapi msingi wa kuwalaumu baba nyumba baada ya kuwatafuna beki tatu

Nimejaribu kupitia maandiko matakatifu nikaona baadhi ya watu maarufu walikula beki tatu na bado Mungu alipendezwa na hicho kitendo walichofanya.

Baba wa imani, Ibrahim alikula beki tatu wake na bado Mungu alimpongeza Ibrahim kwa kitu alichokifanya.

Maandiko yanaonyesha kua beki tatu ni sehemu ya marupu rupu ya ndoa(marriage incentives) kwa baba mwenye nyumba. Maandiko yanaenda mbali kabisa na kuonyesha kua beki tatu sio kumsaidia mama nyumba kazi za ndani peke yake, anatakiwa pia kumsaidia mama nyumba majukumu yake ya ndoa,rejea Ibrahim na sara.

Hivyo kina mama, baba ikitokea dharula akatafuna beki tatu huna haja ya kumlaumu, ni sehemu ya marupurupu yake.

NB. House boy haruhusiwi kula mama nyumba maana huo ni utovu wa nidham wa kiwango cha juu, house boy wote wanatakiwa kua kama Yusufu alivyokua kwa mke wa farao. Wakiwa hivyo baadae Mungu huwainua na kuwapa kazi kubwa.

Hii mada iko well referenced and researched, uibishie kwa hoja.


KWA WALE WANAUME WENYE NDOA KWANI HATA 2017 TUTAKUWA NA ZILE ZILE SARAKASI ZA 2016 ? SIZANI MAANA HATA ADA ZA SHULE NAONA WANATAKA AWAMU MBILI TU ASEE TRIP HII SIJUI
 
Back
Top Bottom