Recent content by SAMBUKILE

  1. S

    Aliyetumbuliwa huyu huku analima...!

    MZURURAJI HUYO KUTWA KIGUU NA NJIA OFISINI HAKAI YUPO BUSY NA SINGIDA UNITED
  2. S

    Most expensive schools in Tanzania

    Kama huna huna tuu wewe ,wacha wivu wa kike...!!
  3. S

    Saed Kubenea: Kumetengwa Tsh 5 Bilioni Kununua Wapinzani Ushahidi Upo, CCM Mkibisha tunatoa

    Wakati Jose Mourinho analalamika kapewa pesa kiduchu Pound Milion 300 za usajili ... wao tayari wana Tshs Bilion 5 za kuwanunua watu...??? ... Wananunua watu kama timu za mpira ? Mzigo wa usajili wanao utadhani Real Madrid..au kama vipi si waende Libya wakanunue kabisa..!!!!
  4. S

    Alhaj Musa Salum amewataka maaskofu waache siasa

    Embu rudia tena aku sikie ...haaaha ...:D:D:D:D:D
  5. S

    TRA, wafanyabiashara wana temper na EFD machines

    TOA TAARIFA HARAKA SANA TENA SANA MARA MOJA KWA "RC" YUPO SHAP SANA KAMA UPO DAR ..ILA KAMA UPO NJE YA DAR UTAJUA MWENYEWE....DAR TUNA KAMA KAMANDA WETU WA KILA KITU MZALENDO DAMU..ANAUPENDA MKOA WAKE KULIKO ...KAMA CHAKULA...
  6. S

    Du! kumbe Meli ya Kichina ilitoa huduma bure Djibouti, Gabon, Sierra Leone, DRC, Angola, na Msumbiji

    JAMANI WACHENI WIVU HUO ...HIYO MELI IMELIPIWA NA NGOSHA KILA KITU ..YAANI NYIE WACHENI TUU...BASHITE MWENYEWE KAENDA KWA BALOZI ,NA BALOZI AKAONGEA NA NDUGU ZAKE KUWA MELI IJE HAPA WATU WATIBIWE BURE..SI MMEMSIKIA BASHITE ANALIVYO NA USHAHIDI TOSHA KUWA TUMELIPIWA KILA KITU..SASA NYIE...
  7. S

    Kama huyu ( pichani) ndiye Ebitoke, nakubaliana na wanaosema haendani na Ben pol ( mbovu)

    Baba yako wakati anamchumbia mama yako na mpaka wewe ukapatikana ,kama angelikuwa anasikiliza maneno kama yako,unayosema dhidi ya Ben Pol ,wewe ungelikuwepo sasa hapa na kuandika upuuzi huu!!? Nenda zako uzuri na ubaya anaujua mama yako
  8. S

    Waliopinga Wanyama asipewe mtaa walisema si uzalendo, Je Gor Mahia nao si wazalendo kwa kumpa Magufu

    Timu ya soka ya Gor Mahia ya nchini Kenya ina matawi zaidi ya 400. Katika matawi yote hayo hakuna hata moja lililopewa jina la Rais Uhuru Kenyatta, ila juzi wamezindua tawi jipya na kuliita tawi la Magufuli. Waliopinga Wanyama asipewe mtaa walisema si uzalendo, Je Gor Mahia nao si wazalendo kwa...
  9. S

    Pata viwanja vilivopimwa Ruvu kwa garama ya laki 5 tu

    Acha utoto wewe !! Kubwa zima kama toy.. kila saa unaona utani tuu kwani lazima u comment? utakuta mijitu kama wewe bado unakaa ukweni tuu au kwenu bado tuu
  10. S

    TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

    Kwa njia hizi inamaanisha, unafundishwa namna ya kuyafurahia maisha kwa kiwango chake cha juu. Kwa kufuata hizo kanuni tatu za upendo wa kindugu, kujiweka huru na ukweli, wakati huohuo ukijitambua na kuanza kujiandaa na kutokwepeka kwa kifo,” anaandika Chande.
Back
Top Bottom