misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 17,046
- 13,171
Nilitaka kuuliza pia mkuuMmmm Feza haimo top 10!!!!
Nilitaka kuuliza pia mkuuMmmm Feza haimo top 10!!!!
For Arusha, I guess it based on climatic reasons.Most of these schools are situated in Dar and Arusha. What is the implication on these two regions? ISM have a campus in Arusha.
Sijajua....ila inaweza kuwa ukosefu wa Wanafunzi hivyo uendeshaji unakuwa MgumuKwanini imekufa mkuu
Fanya kazi kwa bidiiHela yote hiyo wanaitoa wap
ElimuTabu yote ya nini unasoma ili upate nini.
Hao sio necta tu hata udsm yenu huwaoniVipi hizo shule huwa hazifanyi necta? Mbona huwa sizioni?
hiyo fees ni gharama ya spaghetti, swimming pool,sausage na wengi wanajifunzia kulamba unga huko,Anamaliza shule hata kufua nguo hajui na ukipata bahati mbaya ukao aliyepitia huko watoto watakuwa wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa
Sijakariri, ndo kanuni za lugha ya wenzetu, kutokana na kichwa cha habari! Turudi kwenye mada: una ushauri gani kwa serikali yetu pendwa na raia wake?Soma kwa makini utajua ni nini... Usikariri tu kuwa "most" ni superative adj!!! Mbona maelezo yanajitosheleza..... Kuna shule ni most expensive kiwilaya pia kuna shule ni most expnsv kimkoa pia kuna shule ni exnsv ktfa
watoto wetu wamefundishwa kulana tigo huko unasema wivu! fala weweKama huna huna tuu wewe ,wacha wivu wa kike...!!
Mkuu I'd yako imenikumbusha wimbo fulani hahaha, nimeona kisambukileeeKama huna huna tuu wewe ,wacha wivu wa kike...!!
Kweli kabisa, na mifano tunayo mitaani, hakuna ubishi na unayosema, wengi wakitoka hapo ni king'eng'e cha kina Chris Brown, lakini akili za maisha hakuna, hawajuwi kupika, kufanya usafi wa kila aina na hata basic 1st Aid (Sayansi Kimu)...hiyo fees ni gharama ya spaghetti, swimming pool,sausage na wengi wanajifunzia kulamba unga huko,Anamaliza shule hata kufua nguo hajui na ukipata bahati mbaya ukao aliyepitia huko watoto watakuwa wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa
CIS ,chattle international schoolinamaana watu wa kanda ya ziwa, kusini na kati hawako ki-mataifa? huu ni uchochezi, ata chattle?
Safi sanaCIS ,chattle international school
TID,shaban robert,kajala jitegemee,watoto waliosoma hizo expensive schools P FUNKY. KALI ONGALA, SEPETU,TID, LE MUTUZ,KAJALA Siku hizi ni shule zinazalisha walamba sembe na wateja wa dona ya mhogo