Ingawa hata ccm Wanaboronga ila chadema ya kipindi hiki ndo hata siielewi kabisa. Hawana hoja kabisa kazi kudandia dandia hoja na matusi. Sitapiga kula tena katika maisha yangu kwani nilikua nawaamini upinzani ila nimeumbuka.
Over!
Niliwahi kuwakubali sana hao wapinzani huko nyuma. Ila kwa sasa nimekata tamaa kabisa. Hawaeleweki kabisa hojazao zinataka nini. Wakishauliwa wanatoa matusi. Sijui wamepatwa na nini hawa jamaa.
Kwakweli ukweli ni mchungu na kila ukitaka kuwaambia ukweli hao nduguzangu (CHADEMA) unaambukia matusi.
Lowasa alishasema badilisheni aina ya siasa mnazofanya kwakua zimepitwa na wakati mkamdharau. Mmebaki kurukaruka na kulalamika. 2020 mtapata shida sana.
Mleta mada amenichekesha sana, Eti hii nchi itaendelea kuwa maskini kisa wameshindwa uchaguzi. Kwa hiyo ili nchi iwe tajiri inatakiwa iongozwe na CHADEMA? Lakini siwezi kushangaa sana maana hata Hashim rugwe 2015 alidai alishinda urais akaibiwa kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.