Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,058
- 122,456
Mlikuwa na nia gani kukataza na kukamata Mawakala wa Upinzani wasiingie kwenye vituo vya kuhesabu na kupiga kura?Chadema Hakuna Uchaguzi hata wa Mtaa ambao hawajadai kuibiwa kura!
Wao kila Uchaguzi walishinda lakin kura zao zikaibiwa