Asili na Chimbuko la Makabila Yote Tanzania na Africa

Huyo binaadamu wa kwanza alitokea kutoka wapi?? alizuka au?? je alikua rangi gani?? na kama sote tumetokea Nigeria na Cameroon vipi huyo wa kwanza atoke Olduvai??
Binadamu wa kwanza alitokea kwenye jamii ya nyani.

Ila ukitaka kujua kiini kabisa maisha yote duniani kuanzia mimea na wanyama wote duniani.

Baba yetu ni mmoja na hao baba zetu ni bacteria walioishi chini ya bahari miaka billion kadhaa iliyopita.

Common descent - Wikipedia
 
Binadamu wa kwanza alitokea kwenye jamii ya nyani.

Ila ukitaka kujua kiini kabisa maisha yote duniani kuanzia mimea na wanyama wote duniani.

Baba yetu ni mmoja na hao baba zetu ni bacteria walioishi chini ya bahari miaka billion kadhaa iliyopita.

Common descent - Wikipedia
Heeeeh kweli wewe ni mpiga domo hahaha,
Hao bakteria walitokea wapi?? yaani nini asili yao?

na kama binaadamu alitokea kwenye asili ya Nyani mbona mpaka leo Nyani wapo na Binaadamu wapo?? au hao Nyani wa sasa walishindwa kugeuka au aje.

ufafanuzi plz.
 
Heeeeh kweli wewe ni mpiga domo hahaha,
Hao bakteria walitokea wapi?? yaani nini asili yao?

na kama binaadamu alitokea kwenye asili ya Nyani mbona mpaka leo Nyani wapo na Binaadamu wapo?? au hao Nyani wa sasa walishindwa kugeuka au aje.

ufafanuzi plz.
Je unajua kwamba paka asili yao hasa ni Simba.

Je wajua kwamba mbwa asili yao hasa ni mbwa mwitu(wolves)

Sasa swali lako ni sawasawa na kuuliza kwanini simba bado wapo kama paka asili yake ni simba.

735b59054ba4a1e3cecd64c732804f5a.jpg
 
Mleta mada naona unaelezea kuhusu Bantu na nairots(masai, mang'ati ) . vipi kuhusu wairaque(wamburu), wambugwe, warangi, wasandawe?
 
Je waswahili asili yao kutoka wapi?
Je kiswahili ni lugha ya kabila gani?
Kwa nini hakuna kabila la waswahili ikiwa ipo lugha ya kiswahili.
 
Heri ya Mwaka Mpya Great Thinkers,

Leo nimeamua kuja na huu uzi mahususi kwasababu ni mwisho wa mwaka na wengi wetu tunapenda kurudi makwetu. Wapare na Wachaga wataenda kwao Kilimanjaro, Wameru, Wambulu na Wamasai wataenda kwao Manyara na Arusha. Wasukuma, Wahaya na Wanyamwezi wataenda kwao Shinyanga, Bukoba, Tabora na Mwanza. Vile vile ndugu zetu Wanyakyusa watarud kwao Mbeya n. k nk. Kwahyo si vibaya tukajua sisi wote chimbuko letu ni nini hasa.

Lakini wengi wetu tumekua tukijivunia kurud ma'kwetu bila kujua sisi wote asili yetu ni moja. Watu wote wanaoishi East West and South Africa asili yetu ni moja na asili hyo ni BANTU. With exception ya makabila machache kama Wamasai, Watutsi ambayo asili yao ni NILOTIC. Na ukitoa wachache South Africa ambayo asili yao ni KHOISAN. Na ukitoa PYGYMY watu wafupi wa Congo.

Sisi wote tunatokea West Africa maeneo ya Nigeria na Cameroon. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu na kutafuta opportunities nyingine za ardhi kwa ajili ya Chakula tungaanza the great migration kutoka West Africa kuja Central Africa hadi ukanda wa Bahari ya East Africa na wengine wetu wakashuka hadi South Africa. Hii Great Migration ya Bantu people kutokea West Africa ilianza miaka 3,500 iliyopita.

Baadhi yetu walibaki Congo na kujiendeleza hapo na kufanya intermarriage na PYGYMY people, wengine wakaja Tanzania na Kenya wakachanganyika na kuoana na NILOTIC people waliotokea Sudan, South Egypt na Uganda na kutengeneza makabila kama Chagga, Sukuma, Nyakyusa, Masai, Pare n. k.

Wengine wakashuka chini wakaoana na KHOISAN na kutengeneza makabila kama Zulu, Ngoni na Shona and Ndebele.

Lakini ukichunguza asili yetu kabisa wote tunatokea Nigeria na Cameron. Na wote ethnicity yetu hata ki'genetics ni Bantu people.

Amani iwe nanyi katika kipindi hiki cha sikukuuu mkifiria mnapotokea.

Link hii hapa na mwenye kuongezea aongezee

[Bantu peoples - Wikipedia]

Siyo Africa tu, sayansi inakubaliana kwamba chimbuko la watu wooote duniani ni Mashariki mwa Afrika, huko kwingine koote ni utembezi wetu katika kutafuta hali ya hewa iliyo bora!
 
unachoongea ni kweli nina story nyingi zinazothibitisha hili na kwakweli ni vizuri baraza la sanaa likaratibu hii kitu.
nilikaa na mzee mmoja siku moja akanieleza kuwa hakuna kabila linaitwa wachaga, wengi ni wanasai waliochanganyika na makabila mengine ikiwemo wakamba,wajerumani,wahindi nk
asili ya wasukuma na wanyamwezi ni wasumbwa ambao asili yao ni senegal hivyo mpaka wanafika hapa wamepita na kuzaliana na mataifa mengi ikiwemo waarabu,wakongo,watusi,waganda nk. makabila haya yaligawanyika kwa wengine kuwa wafugaji na wengine wakulima na kabila kubwa ni wanyamwezi waliwakimbiza wasukuma mpaka ziwa nyanza najua mengi yatafuata baada ya hapa.
lakini swali la kizushi je ni kweli chief maliare ni mchaga au mjerumani? hili si swali zuri lakini tunapoendelea kutafuta ukweli na haya tuyajue.
Hivi tofauti ya Wasukuma na Wanyamwezi nini hasa? Maana huwa naona matamshi yao yanafanana sana!!
 
ulikuwepo wakati wanafanya hiyo migration hiyo miaka 3000 na zaidi iliyopita? unajua ni lini ramani imeanza kusomeka wewe hadi watu wakajua dunia inazunguka, dunia ina watu wa rangi zingine, dunia ina sehemu inaitwa nigeria etc?
 
"If you do not know where you come from, then you don't know where you are, and if you don't know where you are, then you don't know where you're going"-Terry Pratchett

Watu wengi weusi hatutaki kujua historia yetu. Tunauana, kuchukiana na kubaguana bila sababu na wakati sisi wote asili yetu ni moja.

Wachangiaji wako busy kwenye page za udaku.


sahihi kabisa ..kutotaka kujua ulipotokea nisawa nakuwakana wazaZi wako wanachangia chimbuko na asili yako ..kutotka kujua ulipotokea ndio chanzo chakukumbatia tamaduni na mila ambazo sio zao ..ndio chanzo chakujitoa maana nakujiona kuwa haufai nakuanza kuwatukuza wengine ambao pengine wao ndio walipaswa kukutukuza wewe ...
 
Wanazuoni mnatuchanganya sana,kila mmoja anakuja utaalam wake.kama mwadamu wa kwanza aliishi tanzania,ina maana hakuwa na kizazi?mwishowe watatueleza watania tumetokea europe.kweli nimeamini miluzi mingi humpoteza mbwa.
 
Je waswahili asili yao kutoka wapi?
Je kiswahili ni lugha ya kabila gani?
Kwa nini hakuna kabila la waswahili ikiwa ipo lugha ya kiswahili.
Kiswahili ni lugha ambayo imetoholewa kutoka kwenye bantu ikakopa maneno mengi kutoka kwenye kiarabu, kihindi, kijerumani na kiingereza pia.

Lugha ya kwanza kiswahili ilikua inaandikwa kama kiarabu mwaka 1711 pale Kilwa.

Swahili language - Wikipedia
 
Hatuhitaji kujua tulipotokea,tunahitaji kujua tunapokwenda
halafu unaamini kuwa kichwani mwako unaakili kweli ..
kama hauitaji kujua ulipotoka niwazi ikitokea baadae ukafanikiwa hata wazazi wako na ndugu zako utawakana wewe..
ingawa mafanikio hayana desturi yakwenda kwa mtu asiyejitambua ..nahata kama yakienda huwa nikatka sehemu yake ya Maputo tu..
kutokujua unapotoka nisawa nakutojitambua mkuu ..
 
Kiswahili ni lugha ambayo imetoholewa kutoka kwenye bantu ikakopa maneno mengi kutoka kwenye kiarabu, kihindi, kijerumani na kiingereza pia.

Lugha ya kwanza kiswahili ilikua inaandikwa kama kiarabu mwaka 1711 pale Kilwa.

Swahili language - Wikipedia
mkuu halafu nilikiwa naomba siku utakayopata nafasi utupe elimu yakuhusiana na KILWA ya kale ..maana naskia ilikuwa ni empire kubwa mnoo miaka hiyo ya 1711
 
Wanazuoni mnatuchanganya sana,kila mmoja anakuja utaalam wake.kama mwadamu wa kwanza aliishi tanzania,ina maana hakuwa na kizazi?mwishowe watatueleza watania tumetokea europe.kweli nimeamini miluzi mingi humpoteza mbwa.
Mkuu tupo hapa kuhelimishana.

Ni nini ambacho kinakutatiza kuhusu asili ya binadamu wa kale.

Kama una swali, Karibu mkuu.

Ntakujibu kadri ya uelewa wangu na wengine wataongezea.
 
mkuu halafu nilikiwa naomba siku utakayopata nafasi utupe elimu yakuhusiana na KILWA ya kale ..maana naskia ilikuwa ni empire kubwa mnoo miaka hiyo ya 1711
Hapana Shaka mkuu nitalifanyia kazi.

Nina uhakika pia wanazuoni wengine wapenda Historia wataliona pia na kuchangia.
 
Back
Top Bottom