Sambidundahk
Senior Member
- Aug 30, 2017
- 102
- 49
Kwakweli ukweli ni mchungu na kila ukitaka kuwaambia ukweli hao nduguzangu (CHADEMA) unaambukia matusi.
Lowasa alishasema badilisheni aina ya siasa mnazofanya kwakua zimepitwa na wakati mkamdharau. Mmebaki kurukaruka na kulalamika. 2020 mtapata shida sana.
Lowasa alishasema badilisheni aina ya siasa mnazofanya kwakua zimepitwa na wakati mkamdharau. Mmebaki kurukaruka na kulalamika. 2020 mtapata shida sana.