Siasa za CCM zinawavuruga CHADEMA

Kwakweli ukweli ni mchungu na kila ukitaka kuwaambia ukweli hao nduguzangu (CHADEMA) unaambukia matusi.

Lowasa alishasema badilisheni aina ya siasa mnazofanya kwakua zimepitwa na wakati mkamdharau. Mmebaki kurukaruka na kulalamika. 2020 mtapata shida sana.
 
Kuwatenganisha Slaa na Zitto na Chadema ilikuwa Project Makini sana

Sasa hivi Mbowe na Zitto kila Mtu anatamani kufanya kazi na mwenzie Ila History inawasuta!

Slaa alijitahidi sana kumtenganisha Zitto na Mbowe

Kitila na Samson Mwigamba wakishirikiana na David Kafulila aliekuwa akigombea Uenyekt Bavicha nao walichochea sana Mtengano wa Zitto na Mbowe

Mwishowe Slaa, Kitila, Mwigamba na Kafulila wamerejea Nyumbani kwa Baba na Mama!
 
Hizi ndizo siasa nyepesi nyepesi wanazofanya CHADEMA za kudai eti kuna watu wanalazimishwa kuipenda CCM.

Bila kujitathmini wataendelea kuleta siasa nyepesi nyepesi ambazo baada ya uchaguzi wanaanza kudai tatizo ni tume ya uchaguzi!
Mh!! Kwa mjinga nanmtu asiye enda shule ndio anayeweza kudanganywa na siass zenu za chuki, CCM siasa zimewashinda kilicho baki kwenu ni vitisho na visa ili mradi tu watu wawapende , mfano mdogo tu. Wema alipo kuwa chadema mimsakama hadi bidhaa zake kama mafuta yake yakapigwa stop kuuzwa kwa kigezo kwamba hazifai kwa matumizi wakati huo alipo kuwa CCM alikuwa aliziuza bila shida yeyote na sasa karudi CCM mauzo yameendelea hahahaaa mnaroho ya chuki sana hakuna mwenye akili asiye jua ,

Upinzani ndio hao kutwa kucha hawaishi kutishiwa na kufuatiliwa mara wakamatwe mara watekwe wengine wanauawa, mara wapotee mazima mara wakumbwe na hiki mara kile shida tupu visa haviishi sababu kila siku,

wengine ndio hao mnawanyang'anya ,mashamba yao kisa wapo upinzan wakati wakiwa ccm hamkuwagusa, wakati huo kuna majizi yamejazana ccm mengi tu tena yaliyo kubuhu na kashfa za wizi na ufisadi kibao lakin kwa vile wapo ccm hawaonekan wakiingia upinzan tu utasikia visa vinaanza kama mlivyo vianzisha kwa nyalandu wakati kuna kina maghembe kangasheki ,ngeleja na wengine wengi sana nao wanakashfa lukuki ndani ya CCM mmezifukia mnaziona za nyalandu kisa tu kahamia upinzani

Kina sumaye kila siku mali zao na mashamba wananyang'anywa kisa wapo upinzani visa na sababu haziishi wakati kuna vigogo wapo CCM wamejimilikisha vijiji vizima na wameacha yamekuwa mapori tuu na hawaguswi wala kusumbuliwa na mtu,

Kwa staili hiyo na karaha hizo hata ningekuwa mimi ili nisibugudhiwe na niwe na amani ya maisha ya dunia hii ndani ya nchi hii bora nibaki mwana CCM tu huko ntakuwa salama na ndio maana WEMA alikiri mwenyewe kwamba naishi bila amani kabisa bora nirudi CCM ,alikuwa anasakamwa kwa kila jambo. mara nyumba yao ivamiwe yaan ilikuwa kama anatafutwa maisha , yanini kuish kwa mashaka!?

CCM mnaroho mbaya ya chuki na visasi na wala si kwamba mnapendwa , watu wapo CCM kwa sababu moja tu SALAMA YAO YA MAISHA basi, kinyume na hapo ccm asinge baki mwenye akili hata mmoja ila visa vya ccm, unyama wa ccm vitisho na mengine mengi ndiyo yanayo ifanya ccm iwe hapo ilipo kwa hisani kubwa ya JESHI LA POLISI.
 
kwenye uzi kama huu makarai huwa hayatii mguu
FB_IMG_1511959900367.jpg
 
Siasa zetu zinapitia changamoto kwa mtazamo wangu naona upinzani unaelekea kuimarika. Usiombe kukutana na nguruwe alijeruhiwa hivyo ndivyo itakavyo kuwa kwa upinzani miaka michache ijayo.
Naona kutakua na standard za watu mashuhuri katika chama amabazo sasa hawana na wameshashuhudia madhara yake.
 
Mkuu,,, chadema sasa hivi sera yao ni kutukana wasukuma kuita washamba,

Sasa mtu anakuita mshamba si unajiondokea!

Kuna marafiki zangu walikuwa mashabiki kindakindaki wa chadema, sasa hivi wamekataa tamaa hawataki hata kuisia hiyo chadema.
Baada ya hoja za kuminywa demokrasia kugonga mwamba kwa sasa wameanza kuibuka na hoja za ukanda!

Hizi ni hoja nyepesi nyepesi ambazo hazina ukweli kwa wale wanafanya uchambuzi wa kina.

Ikumbukwe kuwa bila kupata kura nyingi za kanda ya ziwa huwezi kuingoza nchi.

Kabla ya 2015, CHADEMA walitamba sana katika kanda ya ziwa lakini muda unavyokwenda, hata idadi ya madiwani na wabunge wao kutoka maeneo hayo itapungua.
 
Huyo mgawa papuchi nae akija Na kuondoka anaumiza vichwa watu?
Alikuwa analia lia hovyo mpaka akaonewa huruma Na tundulissu Na kibatala kuhusu Huyo makonda leo ndo makonda amekuwa mzuri!!

Kweli mwanamke mzuri sehemu zake za siri ndio zitakazoumia!!
Mkuu;

Huyo huyo mgawa papuchi ndiye alimfanya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa apagawe!

Kama mgawa papuchi hana maana basi Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa aliyepagawishwa tumuweke katika kundi gani?
 
Mkulu pamoja na makosa yao yote walio fanya, wakipewa uhuru wa kufanya siasa kama wenzao wa CCM, amini nakwambia watainyima usingizi serekali na chama
Serikali yoyote yenye kuwatumikia wananchi haipaswi kulala hata kidogo hata kama hakuna wapinzani.

Kuifanya serikali ikosr usingizi ni takwa la serikali makini.
 
Aya ni maneno ya mkosaji nenda kwenye hoja sio kufanya vioja,kwani mlipompoke hamkujua aya yote!Hii ni sawa na kusema sizitaki mbichi hizi
Ninashukuru kwa kunisaidia kumuelimisha.

Inashangaza kuona kwa sasa Wema amekuwa hana lolote wakati Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alikuwa anapiga selfie kila wanapoambatana na Wema.
 
CHADEMA hawakujua kuwa ugomvi wa Wema Sepetu na CCM ulikuwa ni sawa na ndugu wanaogombana.

Wema anawaumbua CHADEMA baada ya ugomvi wake na Paul Makonda kumalizika.

Oh! Kumbe ulikuwa ugomvi wa kifamilia? Sasa ilivyosemwa hiyo ‘vita ya madawa ya kulevya’ ni usanii mbona shingo zilikazwa?

Kwahiyo, unachosema ni kwamba Wema alisingiziwa juu ya yeye kuwa teja na mla bange, siyo?

Na unasema wazi kabisa kwamba, mtu anatumia mali na madaraka ya umma kufanya mambo ya ulaghai!!!

Hii ndiyo CCM mpya!!!

au yule waliomzodoa kuwa fisadi akiwa CCM atajiunga na CHADEMA

Chifu, honestly, ukiweka unazi pembeni, inamaana CCM ni zalisho la mafisadi? Je, wanazodolewa tu ama ni mafisadi kweli? Kwanini haya mafisadi hayafikishwi Mahakamani? Mahakama ya mafisadi inakula vumbi tu sasa!!
 
Kwakweli ukweli ni mchungu na kila ukitaka kuwaambia ukweli hao nduguzangu (CHADEMA) unaambukia matusi.

Lowasa alishasema badilisheni aina ya siasa mnazofanya kwakua zimepitwa na wakati mkamdharau. Mmebaki kurukaruka na kulalamika. 2020 mtapata shida sana.
Siasa za matukio hazichamuacha mwanasiasa salama!
 
Msemajiukweli sikuwahi kutarajia kuwa una mitazamo myepesi hivi. Hapo cdm wamechezeshwa vipi na siasa za ccm? Huyo Wema sio ndio alituhumiwa na mambo ya dawa za kulevya na hata hivi tunavyoongea ana kesi ya bangi? Aliyekuwa akiendesha vita hiyo si huyohuyo Makonda? Sasa hapa utatupa ujumbe gani kwa wale mliotuaminisha kwamba Makonda anapambana na madawa ya kulevya?
Sure, Bashite hajawahi kupambana na madawa ya kulevya na wala hatokaa afanye hivyo, Alichokuwa akifanya ni kuwatishia hao wauzaji na kujipatia fursa mbalimbali za kujipatia mlungula. Pia alitumia kivuli hicho kuwachafua wale wote waliokuwa kinyume chake kisiasa, huku babaake akishangilia.

Sepetu nae ni mtu wa hovyo tu, sio wa kum'babaisha mtu
 
Hii tiba ikianza itawafaa sana CDM maana wameshavurugwa sana na hakuna jinsi
 
Kuwatenganisha Slaa na Zitto na Chadema ilikuwa Project Makini sana

Sasa hivi Mbowe na Zitto kila Mtu anatamani kufanya kazi na mwenzie Ila History inawasuta!

Slaa alijitahidi sana kumtenganisha Zitto na Mbowe

Kitila na Samson Mwigamba wakishirikiana na David Kafulila aliekuwa akigombea Uenyekt Bavicha nao walichochea sana Mtengano wa Zitto na Mbowe

Mwishowe Slaa, Kitila, Mwigamba na Kafulila wamerejea Nyumbani kwa Baba na Mama!
Kuna uwezekano Zitto akakosa hata ubunge katika uchaguzi mkuu 2020 kama hatabadiri siasa zake.

Kipindi cha nyuma CCM walikuwa hawapigi kampeni kubwa katika jimbo lake kwa sababu wanazozijua ili aweze kushinda!
 
Kuna uwezekano Zitto akakosa hata ubunge katika uchaguzi mkuu 2020 kama hatabadiri siasa zake.

CCM walikuwa hawapigi kampeni ya kubwa katika jimbo lake kwa sababu wanazozijua ili aweze kushinda!
Zitto harudi Tena Bungeni!
Tena akifanya Mchezo Sasa hivi Kundi la Madiwani wake Kigoma Mjini wataanza kuunga Mkono juhudi za Mh. Rais
 
Back
Top Bottom