CHADEMA kuweni makini na wageni mnaowapokea

CHADEMA kuweni makini na wageni mnaowapokea

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,776
Niliwahi kuambiwa kwamba CCM wana mbinu nyingi sana za kuhakikisha wanabaki madarakani na nikaambiwa bado hawajazitumia zote.

Binafsi siamini sana kama watu wote wanaotoka chama kimoja na kuhamia chama kingine huwa na nia nzuri, naamini wengine hufanya hivi ili kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kutumiwa na chama hasimu kuhafifisha chama.

Nivema CHADEMA wasiwashirikishe wageni katika mambo ya ndani sana mpaka wajiridhishe kwa kujua lengo la ujio wao.

Nimesema CHADEMA maana ndiyo chama kikuu cha upinzani ambacho hivi karibuni(2015 nakuendelea) kimepokea wimbi la wahamiaji toka chama tawala na vyama vingine.

Nivema wadukuzi wa chama wawe macho maana 2020 inakaribia vinginevyo watapoteza majimbo mengi sana.

Over
 
Wema hajarudi CCM ni uzushi

Mkuu usitake kuharibu furaha yangu niliyoanza kusherehekea. Huyo Wema hana msaada wowote kwa cdm zaidi ya kutuchomea nyota.
 
Niliwahi kuambiwa kwamba CCM wana mbinu nyingi sana za kuhakikisha wanabaki madarakani na nikaambiwa bado hawajazitumia zote.

Binafsi siamini sana kama watu wote wanaotoka chama kimoja na kuhamia chama kingine huwa na nia nzuri, naamini wengine hufanya hivi ili kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kutumiwa na chama hasimu kuhafifisha chama.

Nivema CHADEMA wasiwashirikishe wageni katika mambo ya ndani sana mpaka wajiridhishe kwa kujua lengo la ujio wao.

Nimesema CHADEMA maana ndiyo chama kikuu cha upinzani ambacho hivi karibuni(2015 nakuendelea) kimepokea wimbi la wahamiaji toka chama tawala na vyama vingine.

Nivema wadukuzi wa chama wawe macho maana 2020 inakaribia vinginevyo watapoteza majimbo mengi sana.

Over
Nashukuru kwa kuliona hili.
 
Back
Top Bottom