aaah dullah umeshindwa ku-survive kwenye mawimbi ya kiingereza nakushauri usirudie tena kuandika kiingereza, kiingereza chako ni suicidal, tumia kiswahili au kiarabu
Unfortunately we have mr president who is too loyal to his religious feelings rather than loyalty to his country. The fact is when it comes to politics africans mindset do not go beyond their tribes and religions, that is why its hard to find patriots but rebels in Africa.
Tanzania kuna sheria ya money laundering, hii inagusa hela zote chafu kuanzai zinazopatikana kwa rushwa, kwa kuuza madawa ya kulevya na zinazotolewa kwa malengo mazuri lakini mwiso wa siku zinafadhili uasi na ugaidi, kwa kuwa mgawaiya amekiri kwamba aliwahi kupokea hizo hela chafu nafikiri ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.