Jeshi la Police lina watu Wengi ambao hawajui Sheria wala Mipaka yao wapo wapo tu, Wanataka kuburuza kila mtu wakidhani wao wana mammlaka sana tena wengine ni Seniors kabisa na hawataki Walau Kusoma au Kujua Miongozo yao
Maji ni Dew Drop, Dasani na Afya The rest yana chumvi sio Kilimanjaro tu hata Uhai na Masafi ni ovyo sana, Kwa Regional brand nikiwa Tanga ntakunywa Amani, Nkiwa Moro ntapiga Udzungwa nkiwa Nyanda za juu ntapiga Hill
Mkuu Ulimuelewa Vibaya Ndugu Maharage Chande, Ukipitia Power Master Plan ya Nchi ndio utajua kuna Short term, Medium term na Long term ya mahitaji ya Nishati ya umeme iyo 60K ni Long term na nadhani ni miaka 25 ijayo ila katika short term MW 3000MW zinatosha nchi hii
Kwa sasa Total Installed...
Wakuu kuna Service ni za Muhimu sana hata kama Network Providers watatu charge, We are willing to pay palikuwa na Huduma fulani fulani ya Kujua mtu aliyekupigia Kama mtu umezima simu au Eneo ulipo halina mtandao itakuja jina na muda mtu alio attempt kukupigia na idadi ya attempts kwa sasa naona...
We jamaa tunafanana aisee Kila kitu mi pia sijawahi ku entertain Love affairs kazini kabisa na wala sina Mpango hata mzigo uingie kwenye Line ntachomoa naona kama japo hili linanipa Respect Fulani nzuri tu kitaa na Job
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.