Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,375
Katika kukaa kaa kwangu leo nimekumbuka kumbe sijawahi miliki mpenzi niliyesoma naye ama darasa moja au shule moja.
Hii ni tangu nimeanza darasa la kwanza shule ya msingi hadi namaliza PGDE chuo kikuu!
Wakati nipo shule ya msingi darasa la 5, nlianza utundu kutongoza wasichana wa shule nyingine, maana pale shuleni kwetu nliwahi kutongoza nikaenda kushtakiwa ofisini kwa ushahidi wa barua nikaambulia kipigo kitakatifu. Nikaacha kutongoza wanafunzi wenzangu mule darasani.
Hali hii ya kutotoka kimapenzi na wanafunzi wenzangu iliendelea hadi nafika sekondari. Kule nikaanza kutongoza wanafunzi wa shule nyingine kabisa au wananzengo. Hadi namaliza kidato cha nne sikuwahi kula mwanafunzi mwenzangu pale shule.
Nimeenda mbele wavulana watupu nikamiliki msichana kutoka shule nyingine na kuchakata sana wanakijiji.
Kufika chuo kikuu mwaka wa kwanza nikatongoza msichana tukadumu wiki kabla sijachakata nikamtema kabisa. Maana alitaka kuniletea mapenzi ya kwenye tamthiliya, tangia hapo nikasimama na mademu wa kitaa, nikawachakata sana. Mapenzi ya kichuo chuo na wanachuo wenzangu nikaweka pembeni.
Nimeenda kuchukua Diploma ya Uzamili darasa letu lilikua na visu hasa, ila nikaamua niendelee kumiliki wanawake wa kitaani hadi namaliza.
Je, kuna yeyote mwenye uzoefu ya kutomiliki msichana maisha yake yote ya shule?
Atupe story aliishi ishi vipi katika hali hii?
Hii ni tangu nimeanza darasa la kwanza shule ya msingi hadi namaliza PGDE chuo kikuu!
Wakati nipo shule ya msingi darasa la 5, nlianza utundu kutongoza wasichana wa shule nyingine, maana pale shuleni kwetu nliwahi kutongoza nikaenda kushtakiwa ofisini kwa ushahidi wa barua nikaambulia kipigo kitakatifu. Nikaacha kutongoza wanafunzi wenzangu mule darasani.
Hali hii ya kutotoka kimapenzi na wanafunzi wenzangu iliendelea hadi nafika sekondari. Kule nikaanza kutongoza wanafunzi wa shule nyingine kabisa au wananzengo. Hadi namaliza kidato cha nne sikuwahi kula mwanafunzi mwenzangu pale shule.
Nimeenda mbele wavulana watupu nikamiliki msichana kutoka shule nyingine na kuchakata sana wanakijiji.
Kufika chuo kikuu mwaka wa kwanza nikatongoza msichana tukadumu wiki kabla sijachakata nikamtema kabisa. Maana alitaka kuniletea mapenzi ya kwenye tamthiliya, tangia hapo nikasimama na mademu wa kitaa, nikawachakata sana. Mapenzi ya kichuo chuo na wanachuo wenzangu nikaweka pembeni.
Nimeenda kuchukua Diploma ya Uzamili darasa letu lilikua na visu hasa, ila nikaamua niendelee kumiliki wanawake wa kitaani hadi namaliza.
Je, kuna yeyote mwenye uzoefu ya kutomiliki msichana maisha yake yote ya shule?
Atupe story aliishi ishi vipi katika hali hii?