Majaliwa katoka uko kama two weeks zimepita katumbua watu balaa naona sasa Safar yake imetiki anataka watu wahamie soko jipya kwa lazma
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru Kenyatta alishinda sku walipompoteza Chris Msando Na mkono wake kutumika kuhack system basiii,yani Mimi Nina dhambi ila awa wanasiasa nadhani mbinguni watatumika kama kuni za kuchoma wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ontario baba,mimi naomba za ufugaji wa kuku hasa layers,maeneo,vyakula,soko,kuwakinga na magonjwa etc,hii forex naona kichwa kimekua kigumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada ni moja kati ya vijana wa H.pole pole anaelipwa kuandika aya mtandaoni.
Mlitaka aonekane na nguo alizopigwa nazo?Bashite obviously kaamuru abadili nguo ili movie Inoge.Watanzania wa leo tuna akili nyingi ebu tuache kidogo bana.Tumechoka
Habarini wanajamvi,
Nimekaa na kufikiria biashara ya kuwekeza japo milioni 1 kwa kipindi hiki cha uchumi mdororo na kutokana na ufinyu wa muda wangu nimepata wazo la kuwatafta mama Ntilie wa mtaani kama wawil watatu nikaboresha mazingra yao na kuwaongezea mtaji alafu tukaelewana pesa ya...
Aya wafanyabiashara na walaji kuna bi dagaa wabichi wa mwanza.Ni wasafi na weupe pee.Tunauza kuanzia kilo tano kwa bei ya 5500 kwa kilo,Weka order yako mapema.ukihitaji naomba uje DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.