Sio kosa lako unaongea kwa mdomo peke yake hujui kama akili busara pia hutumika kuongea pole rafiki yangu hicho ndo kiwango chako cha juu cha kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh rais katika mazungumzo yake yote alideal na wafanyakaz wa sekta yake i mean serekalin tu na sio sector binafsi na ishu ya kikokotoo kipya sikumsikia akizungumzia hicho kitu manake hata mm mwenyewe nataman hilo fao lirudishwe nichukue changu mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv ninyi mnao taman kufa eti kwa dhiki za kidunia hamjui kama kuna maisha baada ya kifo na maisha hayo hutegemeana na matendo yako ulio ishi hapa dunian sa kama tendo lako la mwisho ulilo ondoka nalo hapa dunian ni kuua nafsi yako bila kutubu naww ukafa utaiweza dhiki ya maisha ya kaburn na...
Mapovu ya jumuiya ya ulaya na marekan kubwa hasa ni baada ya kuskia baadhi ya viongoz tanzania kukemea ama kupinga ushoga hayo mengine ya ukeukwaj wa kidemokrasia yalikuepo mda mrefu kwetu tumesha yazoea hatujaskia hata sku moja jumuia ya ulaya na marekan kuzungumzia sasa kabla ya tbc kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.