Ni nchi zipi duniani zimefanikiwa kutokomeza ufisadi?
Kwa Tanzania mtu akiiba au kujipatia utajiri wa haraka, ndio anaitwa fisadi, je hawa ambao hawatekelezi majukumu yao ipasavyo tunawaweka wapi?
Tunao viongozi mfano wa Pinda ambaye sijasikia akisemwa kuwa kajitajirisha wala kujikusanyia...