Recent content by sagamawe

  1. S

    namtafuta GRACE JOACHIM

    Namtafuta Maria Mbeghalo. Kwa mara ya mwisho tuliachana Iringa 2002
  2. S

    Mahakama ya Temeke Haina Vyoo

    Naomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza kuwa na media yenye habari inayomnukuu naibu waziri wa Katiba na Sheria Mh. Anjela Kairuki kuhusu mahakama ya Temeke kukosa vyoo anisaidie. Natanguliza shukrani
  3. S

    Ushauri wa biashara

    Kama unataka Ushauri wa Biashara tembelea tovuti ifuatayo Enablis Entrepreneurial Network
  4. S

    Takwimu za shule za msingi tanzania

    Nahitaji kujua takwimu za shule za msingi kama ifuatavyo IDadi ya shule za msingi tanzania Idadi ya walimu katika kila shule Idadi ya wanafunzi kila shule kwa jinsia takwmu za matokeo miaka kumi iliyopita wilaya kila shule inakopatikana Idadi ya shule za secondary kwa kila wilaya Naomba msaada...
  5. S

    Shemeji, ndugu yako anataka kunigeuza!

    Alitakiwa akuite wewe na mke wako muwashaauri kwa pamoja na siyo wewe ukiwa peke yako. Mwenye mke akijua kama Mke wake amekuambia maswala haya, usishangae urafiki wenu unaweza ukaishia pabaya kwasababu mwanaume atakuwa ana ona aibu.
  6. S

    Hello

    Una mada gani hapa mimi sielewi?
  7. S

    Wachina ni noma aisee,nimeshuhudia live bila chenga!

    Ukitaka pesa bidii na kumwomba Mungu saaaana
  8. S

    Wachina ni noma aisee,nimeshuhudia live bila chenga!

    The Boos ,Naona hujasoma vizuri kasema noti za Tanzania
  9. S

    Naamini mume anapatikana popote..basi nam natafuta mume ishaalah...

    Akiwa mkristo ananafasi hata kidogo?
  10. S

    Mke hataki nimpe mimba nyingine!

    ulimuuliza sababu kwanini ataka hivyo akasema je ? Au wewe unataka kulazimisha hata huongei naye unadhani hizi ni zama za mwanaume kuamua tu?
  11. S

    mtambo wa kisasa wa kipima presha kwa kinadada!!

    Huyo anaonekana anapressure kabisa
  12. S

    nina cheti cha form six chumbani

    Tatizo nadhani unakata tamaa mapema. wewe endelea kuomba kazi tu utafanikiwa siku ya Bwana ikifika
  13. S

    Metal ditector Inahitajika.

    Mtafute mwenye number hii anaweza kukusaidia 0713 98 68 00 au 0754 98 68 00 anaweza kukusaidia
  14. S

    YESU amenipa kazi UN

    Kumbuka kusaidia maskini pia
Back
Top Bottom