Naomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza kuwa na media yenye habari inayomnukuu naibu waziri wa Katiba na Sheria Mh. Anjela Kairuki kuhusu mahakama ya Temeke kukosa vyoo anisaidie. Natanguliza shukrani
Nahitaji kujua takwimu za shule za msingi kama ifuatavyo
IDadi ya shule za msingi tanzania
Idadi ya walimu katika kila shule
Idadi ya wanafunzi kila shule kwa jinsia
takwmu za matokeo miaka kumi iliyopita
wilaya kila shule inakopatikana
Idadi ya shule za secondary kwa kila wilaya
Naomba msaada...
Alitakiwa akuite wewe na mke wako muwashaauri kwa pamoja na siyo wewe ukiwa peke yako. Mwenye mke akijua kama Mke wake amekuambia maswala haya, usishangae urafiki wenu unaweza ukaishia pabaya kwasababu mwanaume atakuwa ana ona aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.