Naamini mume anapatikana popote..basi nam natafuta mume ishaalah...

Wakubwa habari zenu na
wadogo natumai wote hamjambo..mie ni bint wa miaka 24 na pia ningali
mwanafunz wa chuo kikuu...nadhan imefka age ya mimi kua na familia ya
kuitazama na kuihudumia kama mke na kama mama kwa ujumla...nahtaj
mwenza wa kutulia nae kmaisha ambae atakua tayar pendo kulipokea kwa
mikono miwili bila hiyana..napenda mwanaume msikiv,mchesh,mwenye heshma
zake,anaejielewa kua amekua na anafanya nini,mpenda maendeleo,na mwenye
kujua maana ya kuoa...ntafurah akiwa muslim...nipo tayar kulea mtoto
kama ulishawai kuzaa kwa moyo na upendo wangu wote..mimi cjawah
olewa,kuzaa wala kutoa mimba na uwe tayar kupma HIV/AIDS...na kama
unamawazo mgando ya mapenz wala ucjsumbue mana ntakudharau na akil zako
mgando znazowaza zinaa...Asante


naomba nitumie ur mob no kwa pm plz
 
Asalam alaykum.rabana zidna ilman wardhukuna fahama.Dua hiyo Wewe unayo email au sm no, nipe.not joks this is serious thank you
 
mwombe Mungu atakupa mume bora sio bora mume.Niko serious nahitaji mtu kama wewe lakini naona dini imekua kikwazo coz mimi si mwislam.
 
Usipompata mpaka mwisho wa mwezi huu, ni pm mimi tuongee. mimi ni senior bachelor, ka elimu ka kutosha ninako, nilikuwa nime suspend suala la kuoa, lakini nina re-think msimamo wangu. karibu sana mdada.:bange:
 
mi natafuta mchmba ila umri wngu ni siku 9466, pia ni mwanafunz wa chuo kikuu ila sina nyumba,gari,shamba wala sina mpango wa kununua toyo siku za karibun
nina upendo wa dhati, ni muislam mcha mngu sijawh kuwa na mchmba kabla ,niko tayari kupima na wala siko tayari kuvuna kabla ya msimu.
Naomba uni pm niktumie no yangu kwa maongz zaid.nt kama sio mweupe usipotze mda.


lol, haya sasa
 
Habari yako mdada mimi naitwa Abubakar ninatafuta mwanamke wa kuoa mwislam kama wewe namba yangu ni o767 681 302 na 0713 681 302 naomba tuwasiliane soon
 
Wakubwa habari zenu na wadogo natumai wote hamjambo..mie ni bint wa miaka 24 na pia ningali mwanafunz wa chuo kikuu...nadhan imefka age ya mimi kua na familia ya kuitazama na kuihudumia kama mke na kama mama kwa ujumla...nahtaj mwenza wa kutulia nae kmaisha ambae atakua tayar pendo kulipokea kwa mikono miwili bila hiyana..napenda mwanaume msikiv,mchesh,mwenye heshma zake,anaejielewa kua amekua na anafanya nini,mpenda maendeleo,na mwenye kujua maana ya kuoa...ntafurah akiwa muslim...nipo tayar kulea mtoto kama ulishawai kuzaa kwa moyo na upendo wangu wote..mimi cjawah olewa,kuzaa wala kutoa mimba na uwe tayar kupma HIV/AIDS...na kama unamawazo mgando ya mapenz wala ucjsumbue mana ntakudharau na akil zako mgando znazowaza zinaa...Asante

Akiwa mkristo ananafasi hata kidogo?
 
Back
Top Bottom