Recent content by Sagacity

  1. S

    2020 Magufuli atapata kura za vijijini na si mijini

    Vijijini ndio majanga kuliko hata mjini! Kule wanaisoma namba mara mbili mbili zaidi ya mjini kwa taarifa yako
  2. S

    Dr. Tulia Ackson kupokewa Dar kwa shamrashamra, ni baada ya kulisimamia bunge vyema

    Kweli ni shujaa kwa ukandamizaji wa demokrasia nchini
  3. S

    Waziri Mkuu: Wabunge ndio wana haki na kinga ya kujadili utendaji wa serikali bungeni, sio wananchi

    Bado tuna safari ndefu kidemokrasia! I didn't anticipate.kwa hiyo wananchi wawe kusema ndioooo kama wabunge wa CCM? We are coming from light to the dark!
  4. S

    Wabunge wa CHADEMA Joseph Mbilinyi, Kubenea na James Millya wasimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge

    Kazi ipo kwa awamu hii! Hivi waongo ni wabunge wa upinzani tu? Ccm hawajawahi kusema uongo? Double standards!
  5. S

    Piga Kura ya Lissu kufunguliwa Mashtaka mapya..

    Povu la nini,dola si ya kwenu? Polisi wapo,usalama wa taifa wapo,mahakama zipo,tatizo ni nini? Chukueni hatua kama hiyo kauli ina-irritate
  6. S

    Lipumba aipasua CUF; Z'bar wamkataa,Bara wamtaka.Seif apata wakati mgumu,UKAWA ya Lowasa yajawa hofu

    Maoni yako ni upotoshaji,uongo mtupu! Mbona CUF imepata wabunge wengi bara bila uwepo wa Lipumba?
  7. S

    Kwako Ansbert Ngurumo: Mwisho wa zama

    Hapa utajua kiwango chako cha elimu ni kidogo sana. Lazima utofautishe utawala na uongozi na utawala/uongozi wa sheria. Tatizo la first 46 Lumumba FC elimu ni ndogo,hawajui tofauti ya uongozi na utawala,taasisi ya urais,utawala wa sheria nk
  8. S

    Rais Magufuli amteua Humphrey Polepole kuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma

    Alichokuwa anakitafuta kashakipata,kelele za nini! Hypocricy of the highest order!
  9. S

    Bulembo: Bajeti hii ni chereko chereko

    Sasa Bulembo ataongea nini? Ndo upeo wake wa kuchambua bajeti ulipoishia. Tatizo shule kichwani,tusimlaumu sana.
  10. S

    Neno la Uchochezi: Tunamfuata Kiongozi; Tumechoka Kutawaliwa Tu

    Hiyo ni nidhamu ya uoga! Nchi haiendeshwi kwa kutegemea ukali,ubabe,misimamo na matamko kuwafurahisha wanaokusikiliza,nchi inaendeshwa kwa katiba,sheria,kanuni,taratibu na miongozo. Utawala wa magufuli una mwisho wake,hauwezi kudumu milele,akiondoka madarakani ataondoka na misimamo yake,ukali...
  11. S

    Dk. Shein akutana na waathirika wa ubaguzi Pemba, aagiza wabaguzi wafutiwe leseni

    Mliyataka wenyewe akina Shein kisa uroho wa madaraka kwa kubaka demokrasia. Hao wanaobaguliwa source ni Shein la LiCCM lake.lisilo na maana yoyote
  12. S

    Mzee Jakaya ni mapema mno

    Una hoja mtoa mada! Analalamika nini,wakati yeye ndio alkuwa mwenye wajibu wa kuondoa changamoto hizo
  13. S

    Kikwete aliremba mwandiko muda haukutosha akafeli... Magufuli hasomi maelekezo, atafeli

    Good presentation! Figurative language,very nice!
  14. S

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Huwezi kusema tunataka nchi ya viwanda. Kuna maswali lazima ujiulize. Mosi,viwanda vipi? Processing(usindikaji) au vya aina gani?. Pili,unatumia rasimali fedha,watu nk ( resources) zipi,kiasi gani za aina gani? Tatu,kuna nishati ya umeme ya uhakika? Kama haipo,una mikakati gani?. Nne,mtawanyiko...
Back
Top Bottom