Hiyo ni nidhamu ya uoga! Nchi haiendeshwi kwa kutegemea ukali,ubabe,misimamo na matamko kuwafurahisha wanaokusikiliza,nchi inaendeshwa kwa katiba,sheria,kanuni,taratibu na miongozo. Utawala wa magufuli una mwisho wake,hauwezi kudumu milele,akiondoka madarakani ataondoka na misimamo yake,ukali...