Waziri Mkuu: Wabunge ndio wana haki na kinga ya kujadili utendaji wa serikali bungeni, sio wananchi

Hapa nilipo natunia tu ugumu wa kuimmkosoa serikali yangu. Maana hata wakija kutuomba kura. Itabdi watuelezee vizuri tuwaelewe. Maana naona nchi yote inaenda kuwa ya vilaza hamna kukosoa ni kusifia tu na posho ndio mmeshashusha toka buku saba mpaka buku mbili. Sawa tu nyie endeleeni.
 
Uitoe wapi hiyo haki?? Mwisho wa haki yako ni kupiga kura tu basi na kuhusu matokeo unatakiwa uakubali yale yatakayotangazwa na Ndugu Jecha.Ole wako ulete fyoko fyoko utashughilikiwa ipasavyo.
Daa kweli ndugu haki zetu ni kupiga kura tuu kimaliza kalale huna haki zaidi ya hiyo
 
Hili ni tamko kwa wale wanaojifanya kufanya vurugu ni kupeleka matatizo yao kwa wananchi wakati wananchi waliwatuma wakaongee Bungeni.
 
Iv hii serikali vp?kwan ilijiweka yenyew hapo?hawajui au wanasahau kuwa sisi ndio wapiga kura na ndio tuliowaweka madarakani lakin leo hii wamesahau miaka 4 iliyobaki si mingi tunaweza kutengua nyadhifa zao labda wapige goli la nape la mkono
 
Nyie manaojifanya wanademkrasia mmekandamiza demokrasia. Kweli tuna safari kama watu hatujielewi.
Bado tuna safari ndefu kidemokrasia! I didn't anticipate.kwa hiyo wananchi wawe kusema ndioooo kama wabunge wa CCM? We are coming from light to the dark!
 
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema wapinzani wanajaribu kujenga taswira kuwa kuna kuminywa kwa demokrasia nchini jambao ambalo sio la kweli, amesema mbunge hawezi kutoa hoja bungeni na kuzipeleka mtaani zijadiliwe na wananchi
amesema katiba imetoa haki na kinga kwa wabunge kuhoji utendaji wa serikali lakini haijatolewa kwa mwananchi yoyote nchini


HV unajua anachokiongea kweli?
 
Bunge ni mali ya wananchi na
Mahakama ni mali ya wananchi waziri kasema wananchi hawana haki this shows ni jinsi gani serikali inataka kushika hatam bila haya wala aibu.
 
Back
Top Bottom