Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hakuongelea suara la sukari hata kidogo?Hahahah nasikia ndio mshauri mkuu wa ngosha!?!
Hakuongelea suara la sukari hata kidogo?Hahahah nasikia ndio mshauri mkuu wa ngosha!?!
Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
Labda sio mchumi huyo ndio maana anaisifia bajeti hii ambayo inahatarisha uchumi wa nchiKwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
kama mtoto wa ndesamburo alivyozawadiwa ubunge na chademaHivi unategemea Bulembo ataacha kuisifia serikali ya mfalme?
bulembo bint yako kazawadiwa ubunge akiwa na miaka 21 tu sasa huyu mtu unategemea atakosoa nini?
kama mtoto wa ndesamburo alivyozawadiwa ubunge na chadema
kwa yeye kusema hayo ni kawaida kabisa.Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
= ngonjeraccm na ngojela zao.
swissme
Mfungo Mwema, naona umefuturu sasa umepata Na nguvu za kuja kuwaongoza wana JF.= ngonjera