Mkuu natumia Galaxy note 8 exynos, nimedownload gcam lakini haifanyi kazi kwangu
Naomba msaada wako
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu tambua kwanza kila mtu anapoamua kufanya jambo Fulani, intention yake huwa ni nzuri
Lakini matokeo yake huja sawa na kusudio lake au tofauti na hapo
Endapo yakiwa tofauti ndio tunatafsiri kwamba alikosea kufanya maamuzi
Hili jambo Kila mtu hufanya na kumtokea
Kwa upande wangu naona...
Usihangaike na vitabu mkuu
Anzia na jukwaa hili hili la intelligence
Kuna mada zimeshiba humu, unaanza kuzisoma kwa kuzidadisi,
Nadhani utapata starting point nzuri
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Nadhani hapo kila mstari mmoja unawakilisha 100m
Kwahiyo ukiona hivyo unajua kabisa bado mita kadhaa kufika kwenye zebra crossing au junction kulingana na rangi
The failure is the success
Lengo lake ni kufikisha kuku 100,000
Let say ndani miaka 3 amefikisha kuku 1,000 au 10,000 kwa kutumia hikohiko kidogo alichoanza nacho
Sawa anaweza kuwa amefeli kufikia lengo lake lakini maisha yake hayatakuwa sawa na jinsi yalivyo Sasa
Kila la kheri ndugu...
Jacklyn na Theodore walikuwa ni wapenzi wa muda mrefu,
Baada ya kumaliza masomo Yao walifunga ndoa na kumzaa mtoto aitwaye Jeffrey
Kutokana na ugumu wa maisha hasa baada ya Jeffren Kuzaliwa, miezi 18 baadaye Theodore alikimbia familia na kumuacha Jacklyn akiwa katika Hali ngumu kimaisha...
Namtafuta rafiki yangu anaitwa Daniel Vincent
Olevel tulisoma wote kilosa agricultural secondary school
Advance yeye alifaulu tabora boys
Mimi nilienda dit sikwenda advance
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.