Hapana dada,mm napenda kupima kwanza siwez fanya na mwanamke mpaka nipime hata kama natumia kodnom yaani nimejiwekea hivyo kama akikataa ebhana mm namruhusu aende zake,hatavkama nidemu wangu kupima ni muhumu labda nikishaoa ndio nitamuamini mke wangu
Kama hupend kutumia Condom,basi nakushauri ukijua una mechi ununue HIV test mbili yaan ya kwako na huyo mlengwa,akifika tu mnaanza kupima HIV ili mkiwa wote mpo vizur unakula mzigo bila kuwa na hofu maana unaweza kula mzigo kavu kavu kumbe unajichimbia kaburi,hata mm situmui kondom huwa natumia...
Huyu kila siku anataka kupata pesa ila kutoa pesa hataki,halafu kuna makabila hata Nyerere alishasema tusiwape madaraka yy aliona mbali sana yule mzee,na kabila hili pia alilitaja na haya ndio matokeo yake,yaani wabahili sana sijui kama alishawahi kuhonga ujanani,anakzi ya kujenga Airpot pale...
Nimepewa flash ila imewekwa lock, yaani siwezi kufuta chochote wala kupunguza, ila nawaza kuweka vitu tu na hata nikitaka kuiflash inakwambia ina lock hivyo mpaka nitoe lock ndio niweze.
Sasa wana JF mwenye ujuzi wa kutoa lock kwenye Flash anisaidie plz.
Mpaka sasa sijaona tofauti ya JK wakati akiwahamisha mawaziri wake sekta na huyu JPM anvyowatumbua kisha anawapangia kazi nyingine nn tafsiri yake hapa?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.