Asante sana kwa taarifa yenye ufafanuzi wa kina. suala la kujiuliza ni je wateja wa benki husika wachukuae tahadhari ipi ili kuepuka kadhia hiyo na usumbufu wanaokumbana nao?
Nipo Ukerewe (Nansio) lakini sijasikia wala kuona jambo la namna hiyo. nitaendelea kuwajuza kwani wilaya hii ina visiwa vidogovidogo zaidi ya 23 ambavyo vinakaliwa na watu hivyo naendelea kufuatilia.
Nawewe ni walewale kwa sababu mtu anayeelewa hatafuti maana ya neno mojamoja bali sentence nzima inaeleza nini. Tafsiri yako ya H/W kuwa ni home work haileti maana kabisa kwa maana ya Mwenyekiti wa Home work Kibondo, ukisoma thread hadi mwisho utagundua inazungumzia Halmashauri ya Wilaya.
Saimon Kanguye Kagori ambaye alikuwa M/Kiti wa H/W Kibondo mkoa wa Kigoma kupitia CCM amejiuzuru wadhifa huo tar. 21.6.2012 kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na ofisi. Taarifa ya kujiuzuru kwake ilitolewa ktk kikao cha dharura cha Baraza la madiwani tar. 22.6.2012 na Mkurugenzi...
Hapo ni kweli kwa sababu kulingana na sheria za Tanzania zipo Taasisi hususan polisi, Uhamiaji na Takukuru ambazo ndizo zenye mamlaka ya kufanya chunguzi za makosa ya kijinai na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa baada ya kujiridhisha kuwa upo ushahidi usio na mashaka unaowahusisha watuhumiwa...
Kama uko serious na post yako nenda kwa mafundi wa simu wanazo special tool ya kufungua hizo screw4 ya nokia N8. pia unaweza kugoogle Nokia N8 disassembly kuna maelezo ya namna ya kutoa betri hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.