Recent content by rweyee

  1. R

    Kadi za Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) na ubora wa huduma ya Afya inayotolewa

    Unatakiwa ueleze ukilenga sehemu yalipo hayo matatizo ili wahusika waje watatue,vinginevyo usiichafue NHIF wengine ndo tunaponea na utaratibu kwetu ni mzuri.
  2. R

    Lipi neno sahihi?

    Umoja _langu Wingi_ yangu
  3. R

    Hivi Babu Seya hawezi kusamehewa?

    Mtu akikukosea akafungwa na Jamhuri, unaweza kwenda kuiomba Jamhuri kuwa jamaa nimemsamehe naomba afunguliwe?
  4. R

    Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

    Nilimsikia Mzee wa Je,huu ni uungwana akisema kuwa yeye ni mzee wa message send badala ya Mzee wa message sent
  5. R

    Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

    Wachezaji wa Yanga/Simba wanapenda kudefence kuliko kushambulia badala ya wanapenda kudefend
  6. R

    Mpenzi wangu kakataa kuja kukaa na mimi

    Sawa mke ni mpenzi wako, lakini hapa ulitakiwa useme kuwa "mke wangu" ili uelewe mapema. Naona huyu si mkeo
  7. R

    Hivi ndivyo rais wa kwanza wa Zanzibar Mh. Abeid Karume alivyouawa

    Hivi ndivyo alijibu swali la darasa la saba lililouliza "Elezea unavyoyafahamu mapinduzi ya Zanzibar"
  8. R

    Mh!

    Wamekuwaje?
  9. R

    Jinsi Lissu alivyowabadilisha waliomuona Nairobi

    Hizi sifa ungeziandika kwa kiswahili wakati huo pengine asingepigwa risasi
  10. R

    AIBU: Waalikwa Ikulu kuinuka na kutaka kuondoka kabla hata Rais hajainuka ni aibu

    Hawana makosa hawajafundishwa protokali. Kumbuka Rais mwenyewe alisema hakuna semina elekezi ,mtajua huko huko
Back
Top Bottom