Wakuu vipi mambo,
Nataka ushauri jamani, mpenzi wangu kakataa kuja kukaa na mimi kwa sababu nimehamia karibu na wazazi wangu kukataa kwake hakuna sababu yoyote ile sababu zake hazingii akilini kabisa.
Naombeni ushauri nimfanye nini ili akubali au nipige chini kila mtu zake.
Please bila kashfa wala matusi please.
Thanks
Nataka ushauri jamani, mpenzi wangu kakataa kuja kukaa na mimi kwa sababu nimehamia karibu na wazazi wangu kukataa kwake hakuna sababu yoyote ile sababu zake hazingii akilini kabisa.
Naombeni ushauri nimfanye nini ili akubali au nipige chini kila mtu zake.
Please bila kashfa wala matusi please.
Thanks