Lipi neno sahihi?

Lipi neno sahihi?

Samahani kwanza, naomba kuuliza...!
Je una asili ya kutokea Asia (Eshia).
 
Kwa nini hukutolea mfano:-
Mama wangu
Baba wangu...ukakimbilia huko Ujombani...!

Tazama sasa unajichanganya..[emoji23] [emoji23]
Mtoto wa nje ya ndoa hamjui baba
 
Mtoto wa nje ya ndoa hamjui baba
Ulipo msikia Mama akikwambia nenda kwa Mjomba wako ulikuwa humuelewi...!

Mjomba wako - mmoja
Wajomba zako- wengi

Tazama na tafsiri ya maneno yanayo kutatiza, ujiongeze kidogo.

2390848ebe0cffcc60c946b00895c440.jpg


ff02c7d164500ac11a357dd1e3352376.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom