ikiuma sema
Member
- Nov 15, 2017
- 88
- 82
Popular present badala ya popular president
Hiyo Bank Tokea Inaanzishwa wafanyakazi wake wakitokea NBC nilikuwepo so mjinga kama wewe huna la kuniambia upuuzi wowote ule. CRDB nenda BRELA kawaombe Memorandum yao ya kwanza kabla ya changes zozote zile uisome ukienda pale unalipia nadhani kama elfu tatu tu... watu wa kigoma nyie lazima mtaenda kuhakikisha. ukishaisoma ndio utaelewa nini kirefu cha CRDB hayo mengine ati ni jina tu la Bank upuuzi huo kawaadhithie watoto wako pakee. Wapuuzi kama Nyie ndio waliingia hadi kwenye Dini zile asili zote wakazibadilisha wakaja na zaoYani wewe bado ni "mshamba" sana kwenye hii tasnia. Nadhani hata google unaona tabu kutumia. Kama bado unawaza CRDB ni Cooperative Rural Development Bank... njoo hapa Bunju binti yangu yuko darasa la nne atakufundisha
Ile ni CRDB bank... sio initials kama ulivyokaririshwa na wajinga au ujinga wako.
Hivi unawezaje kuwa member wa JF afu unashindwa kuelewa ile bank ilishabinafsishwa na kwa sababu za "kibiashara" ikabidi CRDB iendelee kuwa kama jina lakini sio kwa initials za maana ya mwanzoni?
Siku nyingine ukome kumwita "babu" yako "mjinga" wakati kichwani kwako kumejaa "mapovu" badala ya ubongo.
Ile ni CRDB bank na sio CRD bank
Usije ukaleta ujuaji wako wa kijinga ukadhani watu wanakosea kama wanavyokosea kusema Barabara ya Morogoro road au Uwanja wa Taifa stadium....
Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga?
Hii hata mm nilikuwa sijuiKISEMSII badala ya K C M C
Nyingine ni ile taa wanaita Chemli badala ya CHIMNEY
Aaaiii!Ngoja nikudelete kwenye moyo wangu
Najuta kuwasiliana na kilaza kama wewe. Sitarudia tena. Nilijua nacheki na mtu mwelewa kumbe kilaza aliyepitiliza. Kafie mbali, acha niwafundishe wanaoelewaHiyo Bank Tokea Inaanzishwa wafanyakazi wake wakitokea NBC nilikuwepo so mjinga kama wewe huna la kuniambia upuuzi wowote ule. CRDB nenda BRELA kawaombe Memorandum yao ya kwanza kabla ya changes zozote zile uisome ukienda pale unalipia nadhani kama elfu tatu tu... watu wa kigoma nyie lazima mtaenda kuhakikisha. ukishaisoma ndio utaelewa nini kirefu cha CRDB hayo mengine ati ni jina tu la Bank upuuzi huo kawaadhithie watoto wako pakee. Wapuuzi kama Nyie ndio waliingia hadi kwenye Dini zile asili zote wakazibadilisha wakaja na zao
Kumekuwepo na kasumba ya watu kutamka maneno ya kingereza kimakosa ima kwa kujua au pasina kujua, ifuatayo ni orodha ya hayo maneno, waweza ongezea mengine msomaji wangu ikiwa unayo
1.Centmirror/site mirror ikiwa na maana ya side mirror
2.herement/ element(kofia ngumu) ikiwa na maana ya helmet.
3. Flampeni(kifaa cha kukaangia) ikiwa na maana ya frying pan
4.________________________.
5._______________________
Ongeza na we we msomaji wangu ili tujiimarishe Zaidi kimsamiati.
Ahsanteni.
1.Centmirror/site mirror ikiwa na maana ya side mirror
2.herement/ element(kofia ngumu) ikiwa na maana ya helmet.
3. Flampeni(kifaa cha kukaangia) ikiwa na maana ya frying pan
4._Erection _(uchaguzi)______________________.
5._______________________
Naomba kufahamishwa tofauti (maana ya) kati ya Received pronunciation na pronunciation. AsanteNafahamu kuwa received pronunciation ni standard form kwa kutamka Kiingereza.
Sifahamu kuwa English sahihi ni received pronounciation!
We pumbavu issue nzima ni CRDB inatakiwa isimame kama ilivyo na sio kuiongezea bank mtoa hoja alisema watu wanakosea sababu ikitamkwa CRDB Bank inaleta mameno Bank Twice huku kuendelea kujibizana na boya kama wewe uliezoea na kuishi na wanawaake wengi zaidi wa wanaume ndio yamekufanya unaleta Shida Duniani katika Maongezi ndio maana majibu yako ni ya kike kike ya kusuta baya zaidi akili zero kichwani mwakoNajuta kuwasiliana na kilaza kama wewe. Sitarudia tena. Nilijua nacheki na mtu mwelewa kumbe kilaza aliyepitiliza. Kafie mbali, acha niwafundishe wanaoelewa
Ila nakuacha nikikupa somo ile ni CRDB Bank na sio CRD Bank kama minyoo ya uelewa inavotaka kujiaminisha.
Kwa uelewa wako huo siwezi kuruhusu wanangu wafahamiane na wanao maana wataambukizwa akili za kindazi.
Narudia tena ile ni CRDB Bank na sio CRD Bank
Maadam nshajua wewe ni kilaza, sitarudia tena kupoteza muda na wewe
Endelea na ujinga wako unaodhani CRDB ni kama TIN ya TRA
Mpumbavu sio mjinga bali ni taahira asiyependa kueleweshwa alipokosea.
Kwaheri mpumbavu. Endelea kuendelea na upumbavu wako ukiamini CRDB ni "Cooperative Rural and Development Bank" ...
Salimia washamba wenzio Kolomije
Kwahiyo hata CRDB wenyewe wanakosea jina lao?We pumbavu issue nzima ni CRDB inatakiwa isimame kama ilivyo na sio kuiongezea bank mtoa hoja alisema watu wanakosea sababu ikitamkwa CRDB Bank inaleta mameno Bank Twice huku kuendelea kujibizana na boya kama wewe uliezoea na kuishi na wanawaake wengi zaidi wa wanaume ndio yamekufanya unaleta Shida Duniani katika Maongezi ndio maana majibu yako ni ya kike kike ya kusuta baya zaidi akili zero kichwani mwako
Kuna mtu kanambia nisijibizane na taahira ila nahisi ntakuwa namkosea Mungu.We pumbavu issue nzima ni CRDB inatakiwa isimame kama ilivyo na sio kuiongezea bank mtoa hoja alisema watu wanakosea sababu ikitamkwa CRDB Bank inaleta mameno Bank Twice huku kuendelea kujibizana na boya kama wewe uliezoea na kuishi na wanawaake wengi zaidi wa wanaume ndio yamekufanya unaleta Shida Duniani katika Maongezi ndio maana majibu yako ni ya kike kike ya kusuta baya zaidi akili zero kichwani mwako