Recent content by ruuds

  1. ruuds

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ni wazi kocha anajua anachofanya
  2. ruuds

    Kwa taratibu za mazishi za Waislam nawapa kongole

    Ibada ni ya M'Mungu hakua akimfanyia binadam yyt so kama hakua akiabudu sisi jukumu letu kumfanyia ibada ya mwisho na kumzika na sio kwakua alikua hashiriki basi tumsusie..hakua akishiriki atakwenda jibu kwa alie amrisha tufanye ibada cz hata sie kuna baadhi ya siku tulikua tukikosa kwa dharura...
  3. ruuds

    Kwa taratibu za mazishi za Waislam nawapa kongole

    Ustaarabu unao maanisha ww ni upi kaka..labda tupeane elimu kidogo
  4. ruuds

    Joyce Kiria azidi kupingana na CHADEMA, amuonya mume wake kutoshiriki UKUTA

    Nimepitia Almost post zote lakini sijaona mahala paliposemwa kua ''muongo wakat jamaa yupo ndani kuna msaada hata wa kukuliwaza kwa maneno ulitolewa ukiacha mbali tu kwenda kumtembelea huko alipokua kashikiliwa....'' Acha tuone kama sie wengine tutaweza toka hyo siku
  5. ruuds

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    Doooh blaza una uhakika lakini?? Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
  6. ruuds

    E-Fm yaendelea Kuitesa Clouds Fm Dar

    TCRA bado tu hawajakuonaa??
  7. ruuds

    Nimejaribu kumtongoza mchumba wangu kwa namba nyingine, amekubali kesho aje geto na wala hanijui

    Hahahahhahahahahaaha Kama anaakili timamu atakua msela wa halotel tu...
  8. ruuds

    Bukoba kuipiku Dubai kwa miundombinu kabla ya 2017

    Hahahahahahah.... Daaaah
  9. ruuds

    Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

    Aiseh watu tunaropoka sana yaan bila kuzingatia maswala ya msingi...
  10. ruuds

    Video: Ni nani aliye-record hili tukio la Ujambazi wa NMB Bank Mbeya?

    Hivi kweli mtu mzima unashindwa kujua tukio la ukweli na lakuigiza?? Mwisho na majina wakaweka walioshiriki
  11. ruuds

    Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

    Kaka kama vp ntupie namba yake
Back
Top Bottom