Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

Mtu mweusi auawa Marekani na askari mweupe

Weusi wangapi ambao hawakuwa na silaha wameuwawa na polisi ukilinganisha na watu wengine waliouwawa na polisi bila kuwa na silaha?

Badala wa kusema wengi, kwa nini hautaji idadi? Taja idadi na siyo kutoa tu kauli za jumla jumla.

Unasema nikupe takwimu halafu kwa wakati huo huo ushahitimisha kwamba weusi wanaouawa ni wengi! Unashangaza.

Wewe weka takwimu zako halafu tuzijadili hapa. Kama huna sema huna na nitaelewa unaongozwa na hisia na sitakuwa na tatizo na hilo.

But saying 'wengi' doesn't cut it.

Na hilo la polisi weusi kuua weusi wasio na silaha nalo lina harufu ya ubaguzi? Naomba ujibu hili swali moja kwa moja, tafadhali.
Weusi wanaokuwa shot unarmed na polisi ni mara mbili ya whites wanaokuwa shot. Do your research utagundua hili. Ni fact.

Polisi ni polisi tu, awe mzungu au mweusi. Kwani polisi weusi hawawezi kuwa wabaguzi?

Kama watu wanapigwa risasi kwa kuhisiwa tu kuwa ni wahalifu au wanaishi maeneo yenye uhalifu (kitu ambacho na wewe umekisema ingawa umeogopa kukubali moja kwa moja), basi kuna tatizo ktk utendaji wa polisi. Ni sawa sawa na kumuona kila mwarabu gaidi.

Polisi wanaonekana wana pre conceived opinion kuwa watu weusi ni wahalifu. Huu mtazamo ni hatari kwa usalama wa weusi, na unasambaa hadi kwa raia na itapelekea hata mweusi amuone mweusi mwenzake ni muhalifu tu bila sababu ya msingi.
 
Na hao weusi waliokusanyika hapo wanashindwa kumkamata na kumuu mzungu japo mmoja kufidia.....

I HATE WHITE PEOPLE......
4 white people down already.

Don't hate all because even black people are bad too.

Unadhani ni wazungu ndio waliwachinja binadamu wenzao kama kuku kule Tanga?
 
Weusi wanaokuwa shot unarmed na polisi ni mara mbili ya whites wanaokuwa shot. Do your research utagundua hili. Ni fact.

Acha longolongo...weka takwimu hapa. Usiniambie mambo ya kufanya utafiti wangu. Wewe unayesema hivyo kwa nini usiweke vyanzo vya utafiti wako? Weka takwimu zako hapa tuzichambue.

Polisi ni polisi tu, awe mzungu au mweusi. Kwani polisi weusi hawawezi kuwa wabaguzi?

Ridiculous! Sasa polisi mweusi akimuua mweusi kuna ubaguzi gani wa rangi hapo? Give me a break!

Kama unazungumzia police brutality hapo sawa. Lakini usilete mambo ya harufu ya ubaguzi wa rangi kwa polisi weusi wanaoua weusi. Hapo hakuna ubaguzi wa rangi.

Kama watu wanapigwa risasi kwa kuhisiwa tu kuwa ni wahalifu au wanaishi maeneo yenye uhalifu (kitu ambacho na wewe umekisema ingawa umeogopa kukubali moja kwa moja)

Mwongo! Nimeogopa wapi kukisema? Onyesha nilipoogopa.

basi kuna tatizo ktk utendaji wa polisi. Ni sawa sawa na kumuona kila mwarabu gaidi.

Kama kuna tatizo basi lipo pande zote na hata wewe mwenyewe umethibitisha hilo kwa upande wako unapodai kuna harufu ya ubaguzi wa rangi bila hata kujua context ya tukio au matukio na kusikia maelezo ya polisi.

Polisi wanaonekana wana pre conceived opinion kuwa watu weusi ni wahalifu. Huu mtazamo ni hatari kwa usalama wa weusi, na unasambaa hadi kwa raia na itapelekea hata mweusi amuone mweusi mwenzake ni muhalifu.

Hata wewe hiyo ni preconceived notion yako kuwa polisi wanaonekana kuwa wana "pre conceived opinion". Haaaaaaaaa

These things go both ways and that's why in order ascertain what really happened one has to be cool, calm, and collected and not visceral.

Unatoa tuhuma kwa wengine kuhusu mambo ambayo hata wewe mwenyewe unayo. Projecting your own preconceived notions while pointing fingers at others! SMH!
 
4 white people down already.

Don't hate all because even black people are bad too.

Unadhani ni wazungu ndio waliwachinja binadamu wenzao kama kuku kule Tanga?

Slow your roll....hao polisi waliokufa races zao zishajulikana hadi useme "4 white people down already"?
 
Huku Africa ndio hamuuwani kinyama? Nenda South Africa ukaone jinsi watu weusi walivyo wabaguzi na wanawauwa weusi wenzao katika misingi ya ubaguzi.

Hao wala vumbi unadhani wanazo hata akili kujua hayo?

Ni sawa na mbuzi tu...huwezi kabisa ku reason nao.
 
Well...kama ilivyo asili ya kazi yao, polisi wakitoka nyumbani wakiwa hai huwa hawana uhakika wa kurudi nyumbani wakiwa hai na ukweli huo umedhihirika kwa hao wanne ambao walikuwa mtaani kulinda na kutunza amani ili watu waweze kutimiza na kutekeleza haki zao za kikatiba za kuandamana na kujieleza.

Inasikitisha sana. Mimi hapa sasa hivi nikivamiwa jambo la kwanza kufanya ni kupiga simu 911....ili polisi waje kunilinda.

Polisi wote sio wabaya. Polisi walio wengi ni wazuri na mara zote huwa nawashukuru kwa kujitolea kutulinda watu kama mimi.

Naunga mkono polisi wote walio wazuri na nimesikitika hao wanne kupoteza maisha yao.
leo nakuunga mkono kula like 5 umemwaga madini tupu
 
If that video which is going viral Shows the police cowardly shot a harmless brother is true.
Then I dont think. The country still deserve to be tha land of the brave anymore.
 
Marekani nini wakati kuna watu huko kwingine wanakufa kwa mafungu?

Cheki hii juzi tu huko Baghdad....



Huko Pakistan huwa wanavamia hadi shule za watoto na kuua mamia....cheki hiyo...



Halafu unauliza kama kuuana Marekani ni issue simple? Acha masikhara bana!

Kuna sehemu hapa duniani watu kufa kwa mafungu ni jambo la kawaida mno na wala halistui kabisa.



Acha kujitoa ufahamu wewe, unafananisha wanaojinasibu kuwa ni "THE LAND OF ALL PEOPLE", "DEMOCRATIC AND HIGH SECURITY LAND" na nchi ambazo zipo kwenye migogoro ya kivita? Hebu acha kujitia upofu kisa unaishi huko.
 
Acha kujitoa ufahamu wewe, unafananisha wanaojinasibu kuwa ni "THE LAND OF ALL PEOPLE", "DEMOCRATIC AND HIGH SECURITY LAND" na nchi ambazo zipo kwenye migogoro ya kivita? Hebu acha kujitia upofu kisa unaishi huko.

Marekani ni kiujumla ni nchi salama sana.

Habari ndo hiyo.
 
Well...kama ilivyo asili ya kazi yao, polisi wakitoka nyumbani wakiwa hai huwa hawana uhakika wa kurudi nyumbani wakiwa hai na ukweli huo umedhihirika kwa hao wanne ambao walikuwa mtaani kulinda na kutunza amani ili watu waweze kutimiza na kutekeleza haki zao za kikatiba za kuandamana na kujieleza.

Inasikitisha sana. Mimi hapa sasa hivi nikivamiwa jambo la kwanza kufanya ni kupiga simu 911....ili polisi waje kunilinda.

Polisi wote sio wabaya. Polisi walio wengi ni wazuri na mara zote huwa nawashukuru kwa kujitolea kutulinda watu kama mimi.

Naunga mkono polisi wote walio wazuri na nimesikitika hao wanne kupoteza maisha yao.
Polisi wazuri wangeandamana kupinga kitendo cha polisi wenzao wajinga ingewatenganishia ukatili na kazi yao. Lakini maofisa wao hawajaonyesha kukasirishwa na polisi waovu kutekeleza uovu wakiwa kazini unadhani nani atakuwa na imani na ulinzi wa hao polisi.
 
If that video which is going viral Shows the police cowardly shot a harmless brother is true.
Then I dont think. The country still deserve to be tha land of the brave anymore.
Hii ni revenge tamu sana, wamemuua ndugu yetu akiwa hawezi kujitetea, wao wametandikwa huku wamebeba bunduki wasiweze kuzitumia.

Kwa waliosoma kitabu cha PAPILLON watakumbuka revenge ya rafiki yao mathew kabonieri aliyechomwa kisu bafuni baada ya kujipaka povu la sabuni usoni, wao kina mathew kabonieri walimwuua adui yao pale walipommulika kwa tochi kali katikati ya macho wakamwambia "ulimuua rafiki yetu alipokuwa haoni kwa povu la sabuni wewe tunakuua ukiutazama mwanga mweupeee!!!!

Wasipoichukulia kwa uangalifu wawindaji wataongezeka, haitakuwa taliban, aisisi, alkaida n.k
 
Polisi wazuri wangeandamana kupinga kitendo cha polisi wenzao wajinga ingewatenganishia ukatili na kazi yao. Lakini maofisa wao hawajaonyesha kukasirishwa na polisi waovu kutekeleza uovu wakiwa kazini unadhani nani atakuwa na imani na ulinzi wa hao polisi.

Sasa unataka waandamane tu bila facts kujulikana? Unadhani polisi wa Marekani ni kama hao polisi wala vumbi?
 
Sasa unataka waandamane tu bila facts kujulikana? Unadhani polisi wa Marekani ni kama hao polisi wala vumbi?
Kwani mkuu hisia zilizoibua mtafaruku huu si ni video? Sasa hao mapolishi wazungu wao hawana macho?
Huoni kuwa wanadhihirisha chuki yao dhidi ya ma@nyani???!
Usijidanganye kuwa upo salama, wanakulia "taiming"
 
Aiseh watu tunaropoka sana yaan bila kuzingatia maswala ya msingi...
 
Polisi wazuri wangeandamana kupinga kitendo cha polisi wenzao wajinga ingewatenganishia ukatili na kazi yao. Lakini maofisa wao hawajaonyesha kukasirishwa na polisi waovu kutekeleza uovu wakiwa kazini unadhani nani atakuwa na imani na ulinzi wa hao polisi.
Hapa duniani uliwahi kusikia nchi gani Polisi wanaandama? Hivi huwa mnashirikisha halmashauri ya ubongo kabla ya kucomment!?
 
Back
Top Bottom