E-Fm yaendelea Kuitesa Clouds Fm Dar

E-Fm yaendelea Kuitesa Clouds Fm Dar

Mleta habari ripot yake ni ya Dar ambako kuna Efm na Cloud
Tatizo langu sio Dar au kwingineko bali credibility ya hizo takwimu na ndio maana nikaomba link! Geo Poll wana website pamoja na social network accounts na hata ukienda kwenye pages zao, wana-post takwimu zao. Hivyo basi, sitarajii pakosekane web source!
 
View attachment 365537 Uongo usio na maana yoyote! vantz, naomba link ya hiyo ripoti yako manake na mimi nakupa link ya Geo Poll!

TV and Radio Ratings in Tanzania, Q1 2016

Posted by Athman Sungura on June 21, 2016

As part of Kantar-GeoPoll Media Measurement's daily surveys on audience habits for TV, radio, and print, GeoPoll is pleased to release this report on top TV and radio stations in Tanzania, popular viewing times, and more for Q1, 2016.


Top Radio Stations

Clouds remained the dominant radio station in Tanzania with an average rating of 10.7, compared to 9.8 in Q4 2015. TBC Taifa, the second highest-rated station, decreased in ratings from 4.7 in Q4 to 4.5 in Q1, but maintained their second position. Radio Free Africa and Radio One had the same average rating in Q1, 3.8, while TBC FM's ratings stayed consistent with Q4 2015. Once again Clouds, TBC Taifa, and Radio Free Africa were the top stations in terms of audience share, and 13% of audience share for radio went to "other" more regional stations. Full national radio ratings are in the chart below:



SOURCE: GEO POLL

Ukiangalia hiyo ripoti, wakati average rating ya Clouds ni 10.7 ya EFM ni 2.1 !! Likewise, wakati Rating ya Clouds imepanda kutoka 9.8 Q4 2015 to 10.7 Q1 2016; Rating ya EFM ipo constant over the same period!!

Sasa ikiwa hizo takwimu zako zinaonesha highest number of Listernship, inakuwaje tena inakuwa na low rating?
Umeelewa hiyo post? Hii ni dar pekee na kumbuka Efm haiko mikoani uliyoweka wewe niya mikoa yote tofauti na mimi nimeweka ya dar pekee na niya weekly tar 4-8 angalia vizuri mkuu huko huko kwenye geo poll utaiona hii niliyoweka mimi bt kwa wiki na kwa dar peke yake ukiweka mikoani ndio Efm inapitwa coz haifiki
 
badala ya kukurupuka na kuanza kusema ni uongo,ningekuona wa maana ungesema data zenyewe ni za kipindi kifupi(wiki moja)Hivyo zinaweza zisielezee uhalisia.Sasa inabidi udhibitishe hizi ni ''fake data''.Tuletee ''Real Data'' katika duration hiyo 4th-8th July...
Asante mkuu kwelinkakurupuka
 
Umeelewa hiyo post? Hii ni dar pekee na kumbuka Efm haiko mikoani uliyoweka wewe niya mikoa yote tofauti na mimi nimeweka ya dar pekee na niya weekly tar 4-8 angalia vizuri mkuu huko huko kwenye geo poll utaiona hii niliyoweka mimi bt kwa wiki na kwa dar peke yake ukiweka mikoani ndio Efm inapitwa coz haifiki
Sijakataa, na ndio maana nikaomba link from the beginning! Mbona jambo dogo sana hili?!
 
Nawe ningekuona wa maana endapo nawe ungeweka hiyo link kama nilivyoweka mimi! Hiyo attachment penye Clouds unaweza kuweka Radio One na penye Radio One unaweza kuweka TBC and so on!!!!! Kwahiyo huwezi kuthibitisha kitu ambacho ni frm unconfirmed source
Ibadilishwe ili iweje sasa?
 
Aisee we jamaa naona unanipotezea muda wangu! Nimesema weka source ya hizo data; mbona maneno mengi? Ikiwa hakuna source, basi the whole thing ni FAKE! Weka source, na kama hauna, safari njema!!
Povu la nini mkuu?
 
Unafikiri mi naona taabu basi kuitwa nimekurupuka?! Unajua from the beginning nimekana "kisomi" kwa kuomba link source ya mleta mada lakini source hadi sasa cjapewa!! I know, Geo Poll huwa wanatoa regional data upon request... Sasa assuming source ya mtoa mada ni email; basi afanye screenshot! Naamini hapa hatushindani kwahiyo hata screenshot nitaiamini na sitakuwa na sababu ya kuhisi labda ni photoshop!

Anyway, let's make it simple;

Njoo na data zenye source unayoiamini ambazo ni za Dar na za kati ya tar 4 July mpaka 8 July 2016; kama hizo data zitakuwa tofauti you have a point, otherwise wewe utakuwa ni mbishi kulinganisha vitu ambavyo ni vya vipindi tofauti na maeneo tofauti.

Nimemalizana na wewe juu ya hili.
 
Mnang'ang'ania nimekurupuka, sasa mnaona taabu gani kuweka source ya hizo data?! Hivi endapo pale ilipowekwa EFM ingewekwa Times FM; ungekataa?!
Ngoja nikuletee la jana sasa tulia nifanye mambo
 
Radio za mengi zimekumbwa na nini mbona zina stats ndogo ukilinganisha na ukongwe wake. Jamaa wanapaswa wabadilike.
Hawana ubunifu wamebaki na heshima yao tu....na kwa sasa ndio radios pekee zilizobaki zinazosikilizwa na mashabiki wote.... no ubaguzi
 
Ibadilishwe ili iweje sasa?
Mkuu hoja hapo haikuwa kubadilisha au kwamba umebadilisha bali kuonesha kwamba data zisizo na direct source unaweza kuziweka vyovyote vile! Kwa mfano, data nilizoweka mimi siwezi penye Clouds kwa mfano nikaweka Times kv ukifuata link utakuta kinyume cake! Lakini kwa typed paper kama yako unaweza kuweka chochote... na ikiwa hizo data zako tutazikubali basi akija mwingine akasema hapo pa EFM ni East Africa Radio tutalazimika vile vile kukubali: logical argument!
 
View attachment 365537 Uongo usio na maana yoyote! vantz, naomba link ya hiyo ripoti yako manake na mimi nakupa link ya Geo Poll!

TV and Radio Ratings in Tanzania, Q1 2016

Posted by Athman Sungura on June 21, 2016

As part of Kantar-GeoPoll Media Measurement's daily surveys on audience habits for TV, radio, and print, GeoPoll is pleased to release this report on top TV and radio stations in Tanzania, popular viewing times, and more for Q1, 2016.


Top Radio Stations

Clouds remained the dominant radio station in Tanzania with an average rating of 10.7, compared to 9.8 in Q4 2015. TBC Taifa, the second highest-rated station, decreased in ratings from 4.7 in Q4 to 4.5 in Q1, but maintained their second position. Radio Free Africa and Radio One had the same average rating in Q1, 3.8, while TBC FM's ratings stayed consistent with Q4 2015. Once again Clouds, TBC Taifa, and Radio Free Africa were the top stations in terms of audience share, and 13% of audience share for radio went to "other" more regional stations. Full national radio ratings are in the chart below:



SOURCE: GEO POLL

Ukiangalia hiyo ripoti, wakati average rating ya Clouds ni 10.7 ya EFM ni 2.1 !! Likewise, wakati Rating ya Clouds imepanda kutoka 9.8 Q4 2015 to 10.7 Q1 2016; Rating ya EFM ipo constant over the same period!!

Sasa ikiwa hizo takwimu zako zinaonesha highest number of Listernship, inakuwaje tena inakuwa na low rating?
Njoo mkuu hii niya Jana J3 kwa Dar tuu usichanganye
1468329604791.jpg
 
View attachment 365537 Uongo usio na maana yoyote! vantz, naomba link ya hiyo ripoti yako manake na mimi nakupa link ya Geo Poll!

TV and Radio Ratings in Tanzania, Q1 2016

Posted by Athman Sungura on June 21, 2016

As part of Kantar-GeoPoll Media Measurement's daily surveys on audience habits for TV, radio, and print, GeoPoll is pleased to release this report on top TV and radio stations in Tanzania, popular viewing times, and more for Q1, 2016.


Top Radio Stations

Clouds remained the dominant radio station in Tanzania with an average rating of 10.7, compared to 9.8 in Q4 2015. TBC Taifa, the second highest-rated station, decreased in ratings from 4.7 in Q4 to 4.5 in Q1, but maintained their second position. Radio Free Africa and Radio One had the same average rating in Q1, 3.8, while TBC FM's ratings stayed consistent with Q4 2015. Once again Clouds, TBC Taifa, and Radio Free Africa were the top stations in terms of audience share, and 13% of audience share for radio went to "other" more regional stations. Full national radio ratings are in the chart below:



SOURCE: GEO POLL

Ukiangalia hiyo ripoti, wakati average rating ya Clouds ni 10.7 ya EFM ni 2.1 !! Likewise, wakati Rating ya Clouds imepanda kutoka 9.8 Q4 2015 to 10.7 Q1 2016; Rating ya EFM ipo constant over the same period!!

Sasa ikiwa hizo takwimu zako zinaonesha highest number of Listernship, inakuwaje tena inakuwa na low rating?
Tbc taifa ya pili .......fix
 
Mkuu hoja hapo haikuwa kubadilisha au kwamba umebadilisha bali kuonesha kwamba data zisizo na direct source unaweza kuziweka vyovyote vile! Kwa mfano, data nilizoweka mimi siwezi penye Clouds kwa mfano nikaweka Times kv ukifuata link utakuta kinyume cake! Lakini kwa typed paper kama yako unaweza kuweka chochote... na ikiwa hizo data zako tutazikubali basi akija mwingine akasema hapo pa EFM ni East Africa Radio tutalazimika vile vile kukubali: logical argument!
Sala mkuu shuka chini ila ukiingia geo poll haina tofauti na niliyoweka sema inategemea niipata ktk mfumo gani
 
Hili lina-make sense; tena sio basing on above data bali hata kutoka kwenye approved data!
Tatizo letu ni kwamba hata kama ukusanyaji taarifa haukuwa biased, taasisi inayokusanya inakuwa biased-yaani wanakuwa na interest zao. Wanataka advertisers wajue nani mkali. Kwahiyo hata kama mbinu za ukusanyaji ziko objective, data, analysis na interpretation zinaweza kuwa biased/played ili kupendelea chombo fulani
 
hivi kweli hii Efm watafikaga mikoani kwetu kweli kama mwanza vile au Arusha au wanaweza mbania vibali au mambo ya pesa hayako vema sana kwa kusambaza mikoani naomba kujuzwa hili wakuu
tunaisikiliza mikoani kupitia internet radio,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom