Recent content by Rutakumwa Kyagulani

  1. R

    Aliyekuwa Mgombea Mwenza wa Urais CHADEMA, Juma Duni Haji amerejea CUF huko Zanzibar

    Tunamsubiri Lowasa nae arudi CCM. UKAWA oyeeeeeeee...
  2. R

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Mwenye haki yake apewe Zanzibar, acha bla bla
  3. R

    Mkaguzi wa Hesabu za Serikali(CAG) akabidhi ripoti ya 2014/2015 Ikulu

    CAG anawakwaza kwasababu ni muislamu safi. Mkitaka kumjua vizuri kamuulizeni Prof Rwekaza Mukandara.
  4. R

    JK azidi kupasua anga Ulaya

    Mwacheni mzee wa watu ale bata
  5. R

    Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

    Kwenye machafuko system imefanya nini??? Au hiyo system ni Tz tu???
  6. R

    CUF: Ni Ngangari au Ngangara?

    Sasa za vurugu hazina nafasi, kupambana na kwenye silaha wakati huna silaha ni uenda wazimu
  7. R

    CHADEMA ina tatizo gani kwenye idara ya Habari..!!?

    I have a dream, CHADEMA will be in ICU before 2020
  8. R

    Ukuu wa Mikoa: Rais Magufuli alishauriwa vibaya juu ya Elaston Mbwilo

    Watu sahihi wapo wengi, ameachwa huyo wamechukuliwa wenzake
  9. R

    Mbowe amuunga mkono Gwajima kwenye kesi ya kumkashifu Pengo

    Mheshimiwa Mbowe anamtetea mchungaji tapeli
  10. R

    Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

    Wakati wa sasa za kiharakati za mapambano umekwisha. Huu ni wakati wa kujenga hoja zenye nguvu na faida kwa nchi. Vurugu mwisho wa siku huwagharimu wananchi wa kawaida.
  11. R

    Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

    Habari zilizotufikia ni kwamba chama kimeamua kuepuka lawama ya tuhuma kwamba ni chama cha kaskazini. Wameamua kumpa msomi maarufu gwiji la sheria. Msomi huyu ambaye anasemekana kuwa yupo CHADEMA kwa kazi maalum. Taarifa hizi zitawafurahisha sana CCM ksbb walikuwa wakisitishwa sana na muelekeo...
  12. R

    Wakati Rais akiimarisha ushirikiano na Israel, jionee kinachoendelea

    Ina maana wewe hujui kama mayahudi walilaaniwa na Mwenyezimungu kwa kukataa manabii na kuwaua baadhi yako? Kumbuka Palestrina wapi waislamu na wakristo na wrote wanateswa na utawala dhalimu wa kiyahudi. Tatizo hamsomi mkayajua mambo. Wakristo wengi wanawatetea mayahudi wakidhani ni wenzao. Wale...
  13. R

    Walimu Dar kusafiri bure kwenye daladala

    Hawa ndio viongozi tunaowataka
Back
Top Bottom