Tunamsubiri huyo Katibu Mkuu makini.
Tafadhali usituletee mroho wa madaraka,mnafiki na kigeugeu kama aliyejiuzulu.
Chama kinahitaji mtu makini atakayekijenga chama kuelekea 2020.
Kila la kheyr.
Nibora popo kuliko weweUnakivua nguo chama chako cha ccm maana unaonekana huko ccm ndio tabia yenu ukabila na umikoa kama siyo ukanda pole sana endelea kujidhalilisha
Usiongope watuHabari zilizotufikia ni kwamba chama kimeamua kuepuka lawama ya tuhuma kwamba ni chama cha kaskazini. Wameamua kumpa msomi maarufu gwiji la sheria. Msomi huyu ambaye anasemekana kuwa yupo CHADEMA kwa kazi maalum. Taarifa hizi zitawafurahisha sana CCM ksbb walikuwa wakisitishwa sana na muelekeo wa chama pinzani kuwa ni wa fujo. Kwa kupatikana katibu msomi na makini kama Prof Safari kutapeleka mbele demokrasia.
Unasema!Si wampe Kubenea tu mzee wa vyupi na shanga
Naona umeongea ki-ID yako...Si wampe Kubenea tu mzee wa vyupi na shanga
Sikilizia wakijaSi wampe Kubenea tu mzee wa vyupi na shanga
We ndorobo kulikoni?Chama chenyewe kishapoteza mwelekeo na kinaelekea kufa lakini bado mnaleta habari zao humu kujaza Ukumbi, mmekombatia mafisadi na mnazidi Pokea Wezi waliotumbuliwa na MagufuliMagufuli.