Wakati Rais akiimarisha ushirikiano na Israel, jionee kinachoendelea

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,516
2,080
Nchi wanachama wa jumuiya ya nchi za kiisilam OIC, leo kwa kauli moja zimetoa msimamo wao kuziagiza nchi wanachama kupiga marufuku ununuaji wa bidhaa zinazozalishwa au kutengenezwa na Israel kwa kile wanachodai kuwa ni ukaliaji kimabavu wa Israel katika maeneo ya Wapalestina.

Wamechukua hatua hiyo kama kuibinya Israel dhidi ya kile wanachokiita ni udhalimu na ukandamizaji wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wapalestina.

Je nchi ingeingizwa mkenge na yule aliyekua waziri wa mambo ya nje alietaka na urais pia kujiunga kwenye hii jumuiya, haingempa Magufuli wakati mgumu?
 
Ina maana wewe hujui kama mayahudi walilaaniwa na Mwenyezimungu kwa kukataa manabii na kuwaua baadhi yako? Kumbuka Palestrina wapi waislamu na wakristo na wrote wanateswa na utawala dhalimu wa kiyahudi. Tatizo hamsomi mkayajua mambo. Wakristo wengi wanawatetea mayahudi wakidhani ni wenzao. Wale hawamtambui Yesu wala Mahammad (a.s).
 
nchi wanachama wa jumuiya ya nchi za kiisilam oic, leo kwa kauli moja zimetoa msimamo wao kuziagiza nchi wanachama kupiga marufuku ununuaji wa bidhaa zinazozalishwa au kutengenezwa na israel kwa kile wanachodai kua ni ukaliaji kimabavu wa israel katika maeneo ya wapalestina wamechukua hatua hiyo kama kuibinya israel dhidi ya kile wanachokiita ni udhalimu na ukandamizaji wa israel dhidi ya wananchi madhulum wapalestina. je nchi ingeingizwa mkenge na yule aliyekua waziri wa mambo ya nje alietaka na urais pia kujiunga kwenye hii jumuiya haingempa magufuli wakati mgumu.??
Serikali yaTanzania haina dini ila watu wake ndio wenye dini!! OIC wanaweza kuamua lolote kwa misingi ya imani yao ambayo haina uhusiano na Serikali yetu.
 
Lol sasa wakitoka Israel mnataka wakaishi wapi?

Historia inaonesha walikuwa utumwani Misri kwa miaka 300 walipo rudi kwao wakawakuta watu wamekalia maeneo yao na wameharibu baadhi ya sehemu zao...


Wakaanza ku claim ardhi yao na waliokutwa hawataki kutoka wakati wanazo sehemu zao...


Wayforward:-

Wawatafutie eneo kisha wawashauri wahaemie kwa makubaliano kati yao kisha itakavyokuwa sawa maana ni kati ya Israel na Palestina si waarabu woote wa dunia..


Kama aje basi na waarabu wa Africa wa sepe baaasi maana wao Africa si Asili yao..


Over and out
 
Ina maana wewe hujui kama mayahudi walilaaniwa na Mwenyezimungu kwa kukataa manabii na kuwaua baadhi yako? Kumbuka Palestrina wapi waislamu na wakristo na wrote wanateswa na utawala dhalimu wa kiyahudi. Tatizo hamsomi mkayajua mambo. Wakristo wengi wanawatetea mayahudi wakidhani ni wenzao. Wale hawamtambui Yesu wala Mahammad (a.s).
we acha wang'ae ng'ae macho tu!hao mayahudi hawaamini kama masihi kesha kuja,wana amini kristo wa ukweli bado hajazaliwa!unajua wayahudi hawautambuhi ukristo?wenyewe wamebakia kuimba kuwa "ataye kulaani nitamlaani,atayekubariki nitambariki"!hawa wakristo ambao hata agano la kale kwa kulisoma ni shida wanaamini hayo maneno yanawahusu wanaisraeli,wakati lilikuwa ni agano kati ya Mungu na Ibrahimu,kama ni agano la wanaisraeli hili haliwahusu,maana kipindi ahadi hii inatolewa taifa la israeli lilikuwa halipo!kama ni agano la Mungu na Israeli ukasome Agano la Pale Mlima Sayuni!Agano ambalo liliweka conditions kwa wana israeli,kuwa kama wakitenda mema watabarikiwa,wakitenda dhambi wataadhibiwa!sasa huu msemo wakusema,"atayekubariki nitambariki,atayekulaani nitamlaani" kwa wana israel unaingiaje hapo juu kwa huyo mwandishi?someni biblia ninyi,hasa hasa agano la kale na mlielewe,na muache kumezeshwa porojo na viongozi wenu wa dini!
 
Ina maana wewe hujui kama mayahudi walilaaniwa na Mwenyezimungu kwa kukataa manabii na kuwaua baadhi yako? Kumbuka Palestrina wapi waislamu na wakristo na wrote wanateswa na utawala dhalimu wa kiyahudi. Tatizo hamsomi mkayajua mambo. Wakristo wengi wanawatetea mayahudi wakidhani ni wenzao. Wale hawamtambui Yesu wala Mahammad (a.s).
Walilaaniwa wapalestina na waarabu ndo maana vita hazitoki milangoni mwao,wanasumbua dunia nzima na dini yao isiyoheshim uhai wa binadam wengine !!pamoja ya kua sio wote waliomkubali yesu wengine walimkubal..lakini bado wanafata maandiko ya manaabii wengine na maagano ya Mungu!!We hujiulizi wanawezaje kushinda vita ya 6days war ndani ya SKU 6 yakazipga nchi zote zinayoizunguka ikiwemo Jordan nch kubwa Mara 5 ya Israel!!Walipo ni nchi yao ya ahadi!!hawafanyi udharim wamejikita kwenye ulinzi wao na wamalizao! Tatizo la Palestinian wanataka kuiangusha Israel ndo maana watazidi kua wahanga!! "If Arabs will put their weapons down there will be no more violence but if Israel will put weapons down there will be no more Israel in the map of middle East"
 
Walilaaniwa wapalestina na waarabu ndo maana vita hazitoki milangoni mwao,wanasumbua dunia nzima na dini yao isiyoheshim uhai wa binadam wengine !!pamoja ya kua sio wote waliomkubali yesu wengine walimkubal..lakini bado wanafata maandiko ya manaabii wengine na maagano ya Mungu!!We hujiulizi wanawezaje kushinda vita ya 6days war ndani ya SKU 6 yakazipga nchi zote zinayoizunguka ikiwemo Jordan nch kubwa Mara 5 ya Israel!!Walipo ni nchi yao ya ahadi!!hawafanyi udharim wamejikita kwenye ulinzi wao na wamalizao! Tatizo la Palestinian wanataka kuiangusha Israel ndo maana watazidi kua wahanga!! "If Arabs will put their weapons down there will be no more violence but if Israel will put weapons down there will be no more Israel in the map of middle East"
imeandikwa wapi kuwa Waarabu wamelaaniwa?
 
nchi wanachama wa jumuiya ya nchi za kiisilam oic, leo kwa kauli moja zimetoa msimamo wao kuziagiza nchi wanachama kupiga marufuku ununuaji wa bidhaa zinazozalishwa au kutengenezwa na israel kwa kile wanachodai kua ni ukaliaji kimabavu wa israel katika maeneo ya wapalestina wamechukua hatua hiyo kama kuibinya israel dhidi ya kile wanachokiita ni udhalimu na ukandamizaji wa israel dhidi ya wananchi madhulum wapalestina. je nchi ingeingizwa mkenge na yule aliyekua waziri wa mambo ya nje alietaka na urais pia kujiunga kwenye hii jumuiya haingempa magufuli wakati mgumu.??
Maafisa wa israel walifanya safari ya kisiri kwenda kuonana na wenzao wa UAE huko abudhabi,saudi arabia ilisema ipo tayari kufungua anga lake kwa ndefe za israel kama israel itahitaji kupigana na iran,israel na misri wana mpango wa kusign mkataba wa kuuziana gas,uturuki inasema inataka kuhost bomba la gas la israel liende ulaya....kila nchi hapa ina interest zake na israel sema wakikutana pamoja wanadanganyana tu ,kwakweli sion mtetezi wa kweli wa palestine hapa..pengine Russia.USA na EU they do more than OIC can kwenye swala la Palestine
 
Back
Top Bottom