Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,253
- 18,024
Mtoa mada umenichekesha, huko juu umeanza kiushabiki flani hivi kama vile Kikwete anakihere here cha kusafiri,
Huku chini umejizodoa mwenyewe kua kumbe anasafiri kikazi (kutatua migogoro na kwa mialiko maalumu)
Nilijua anasafiri kwa matanuzi kumbe kikazi,
Sasa hao wanaompa mialiko maalumu kwani hawajui kua kuna rais?
Ni wazi wanautambua mchango wake au wamekubaliana na rais wa sasa awe anamuwakilisha.
Tupunguze wivu wa kike.
Huku chini umejizodoa mwenyewe kua kumbe anasafiri kikazi (kutatua migogoro na kwa mialiko maalumu)
Nilijua anasafiri kwa matanuzi kumbe kikazi,
Sasa hao wanaompa mialiko maalumu kwani hawajui kua kuna rais?
Ni wazi wanautambua mchango wake au wamekubaliana na rais wa sasa awe anamuwakilisha.
Tupunguze wivu wa kike.