Recent content by Rukwa21

  1. R

    Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

    Downfall of Diamond is comming soon!
  2. R

    Najuta kujipendekeza kuoa

    Acha utoto unauliza ikusaidie nini! Kama ameliwa kabla ya ndoa hiyo hakuhusu! Anzia ulipooa, hiyo hainaga makombo
  3. R

    Waziri Mkuu Majaliwa amtumbua DED wa Mbozi, wengine 3

    Aisee watu bado hawaogopi kupiga deals kwenye serikali hii
  4. R

    Sumaye na Lowassa hawakuwepo?

    Swali lako la Kipuuzi unajua tofauti ya Waziri na rais. Ukishajua hivyo utakuwa umejibu swali lako
  5. R

    Video: Kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto wa kizungu – Harmonize

    Ulimbukeni na ushamba ulipitiliza aisee!
  6. R

    Mwenyekiti wa kijiji atekwa Ikwiriri, mwingine aokotwa mtoni amefariki kwa jeraha la risasi

    Duh! Aisee kuna haja ya Jeshi kupelekwa huko hali si shwari
  7. R

    Kuna umri wa kuchoka kutongozwa?

    Siku hizi kuna kutongoza jamani?
  8. R

    Rich Gang; Huyu Ndo Jack Pemba Bwana

    Ukiwa na nyota ya pesa huyu Jack anayo kuna kipindi Alichoka mbaya sasa karudi tena I hope atakuwa wise this time. Jack alikuwa footballer.mzuri sana nilimjua Shaaban Robert kabla kufukuzwa kwenda Kinondoni. Break dance kabda utotoni
  9. R

    Nimependa utaratibu huu wa Kenya, Umwinyi utaturudisha nyuma Watanzania

    Inawezekana wewe ndio ujui maana ya slums. Tanzania hakuna slums ipo Kenya Kibira google utajua nazungumzia nini? Nyingine ipo India na Nigeria majina nimeyasahau. Watu wanaishi katika mazingira magumu sana wanaokota vitu jalalani ili kuweza kukidhi mahitaji ya kila siku. Sisi bado hatujafikia...
  10. R

    Nimependa utaratibu huu wa Kenya, Umwinyi utaturudisha nyuma Watanzania

    Upori labda unakusumbua wewe. Usione jina nalotumia hapo ukafikiri mluga mluga i am international nimeshakaa dunia ya kwanza miaka mingi sana. Anyway jiulize swali moja pamoja matakwimu yako ambayo hayana reference kwa nini Wakenya wanakimbilia Tanzania, na sisi hatuendi huko kwao?
  11. R

    Nimependa utaratibu huu wa Kenya, Umwinyi utaturudisha nyuma Watanzania

    Tupe hiyo analysis mkuu ila kwa mtazamo tu utaona sis afadhali, Umeshawahi kuona kuna slam Tanzania? Kenya inayo slum, slum inashiria kuwa kuna maisha magumu sana kwa watu wa chini. Wakatu huo huo kuna wachache ndio wanafaidi
  12. R

    Nimependa utaratibu huu wa Kenya, Umwinyi utaturudisha nyuma Watanzania

    Sasa unafikiri Wakenya wengi wana maisha mazuri? Ni wachache wako vizuri. Asilimia kubwa wana maisha ya shida. Tanzania tuko vizuri kimaisha mtu yoyote anaweza miliki ardhi. Kenya subutu ni matajiri tu
  13. R

    Waziri Mkuu: Nchi haijakumbwa na baa la njaa

    Hivi watu wanajua maana ya nchi kukumbwa na njaa? Kama mnakumbuka Ethiopia walivyokumbwa na njaa. Sema labda kuna hali ya ukame tufanyaje au tupande mazao gani. Na hi hali haipo nchi nzima
  14. R

    Rais Magufuli alijua mabaya ya Dr. Dau mpaka kutompangia nchi?

    Mtoa mada uelewi cheo ubalozi vp aina 2 unaweza kuwa balozi na usipangie nchi na kuwa balozi ukapangiwa nchi. Hilo swala la kutumbua majipu tumwachie Magufuli na majipu yake
Back
Top Bottom