Watu wanakufa njaa ,wao wanaleta ngonjera,,kweli alieshiba hamjui mwenye njaa
Anayeleta ngonjera ni nani???!!! Watch (out) your words...Hebu thibitisha kama Tanzania hii kuna watu wamekufa kwa njaa Na kama njaa ipo Tanzania hebu toa ufumbuzi wake... Acheni kutumia 'njaa' kwa siasa zenu...