Najuta kujipendekeza kuoa

Najuta kujipendekeza kuoa

Nafikiri umekosa vitu vya maana vya kuuliza.
 
Habari za leo wana-JF wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojielezea.

Mwaka jana niliwahi kuomba ushauri baada ya kufuma message nyingi kwenye Facebook account ya mke wangu, nikajipiga moyo konde tukaweka sawa maisha yakasogea. Tatizo limeibuka jana, kabla hatujaoana mwanamke huyu aliwahi kunitajia idadi ya watu alio-date nao kua ni 16 ila waliomgegeda ni 3 sasa jana sijui story zilianzia wapi bwana nikamtega tu hivi flani ktk ile list yako zamani aliwahi kukukisi.

Mweeeeh nikashangaa mtu kainamisha kichwa chini kwa huzuni huku akisema sikutaka kukuambia mume wangu, mwanaume nikajipiga kifua na kumwambia aseme tu. Si ndo akaanza nisimulia kua jamaa alimla bwana, jicho likanitoka. Acha kabisa kusikia taarifa za mkeo alivyoliwa halafu alikuficha ni kama msiba mkubwa.

Kwahiyo wapo 4, akawa analia sana nikampooza ili nijue kama wapo wengine waligegeda akaapa Miungu yote kua ni hao tu hakuna mwingine kabisa. Tangu jana najuta kukurupuka kuoa mapema, bora ningebaki bachela tu niwe nagegeda kistaarabu kisha najisepa, hapa kichwa kinaniuma sina la kusema
Kweli ukimchunguza sana bata humli, ndoa ina majaribu mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Saa jamaa yangu mkeo hukunkuta bikra then unamuuliza maswali ya zilipendwa ukitegemea nini zaidi ya kuja kuumia
 
Huyo mke halali yako tu, kwani weh hujawahi kuwa na wasichana tofauti au hakuna mambo uliyo mficha?
Mungu kakupa unacho stahili sio unachotaka.
Pambana na hali ya ndoa yako mkuu, ila usihofu hali uliyo nayo itapoa nayote hayo utayasahau.
Nakushauri usipendelee kudadisi mambo ambayo story yake haibadilishiki kumbuka unamoyo ulio hai unaojua kutest baya na mazuri jiepushe na story zenye mwelekeo wa kukukera.
 
Bro pole saana, kwanza suala tu lakumuulizia x wake halafu ye akaanza kuonesha huzuni na kulia ni dhahiri kwamba jamaa alikua ndo the best kwa mkeo, inavoonekana mshkaji alikua akipiga mechi za kibabe mpaka wanajikuta wako chini ya uvungu hivo umemkumbusha mbali,kwa hiyo subiri waanze kupasha kiporo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkioana mnazaliwa upya, historia ya zamani inapaswa kufutwa, kosa lako ni kufukua makaburi, tena ushukuru kukutana na mke ambaye alishamalizana na ujana kuliko kuoa bikra akaanzia ujana nyumbani kwako, utajiua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi hata nikiwa tu kwenye uhusiano sitaki kuhadithiwa kuhusu ma ex wake hata kidogo na akinihadithia tunaweza gombana!!
Umeyataka mwenyewe pambana na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli mimi nishaweka Dushe langu kwenye tupu za wanawake zaidi ya 2,000.
But, nimewahi kua na mahusiano mazito ya kimapenzi na wanawake 4 tu
Hao wengine ni prostitutes tu, na sex ilikua inafanyika for fantasy only.
Hua nacheka sana mwanamke akiniuliza nimetembea kingono na wanawake wangapi, na siku zote hua nawambia nimetambea na wanawake zaidi ya 2,000, the problem is, they don't believe me
 
Sasa wewe mtu aliliwa zamani hata hujamjua inakuuma hivyo akiliwa saiv ushamuoa si ndo utakunywa sumu ufe jombaa
 
Mimi nilikuwa napewa taarifa kidogo kidogo kama episode za the walking dead. Mwisho wa siku ikabidi ni-assume infinite number.

Nikarudi nyuma na kujiuliza swali, kwa nini tunajipendekeza kufunga ndoa. Yaan, whats so special about this kind of relationship? Is it because everybody will legally know?....

Still, pathetic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila muda mna discuss maendeleo tu, mtakua maroboti sasa... Kuna muda mnajiachia na mastory ya miaka hiyooo whether kwa kukumbushiana through picha za zamani au hata story tu.. Sasa katika story hizo ndo anaamua kufunguka kitu ambacho hata hukuwazia ndo maumivu nayoyahisi hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann mcjadili mambo ya shule na marafik zenu mbaki mnadiscus mambo ya wanaume waliopita wanakuhusu nn kama co umbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaha kabla hatujaanza uhusiano miaka hiyo tukiwa marafiki tu alinitajia list ya aliodate nao na waliomgegeda ila huyo mmoja hakumtaja ndo kamtaja jana, itakua ana sababu zake whether ndo alimkuna vizuri yote yanawezekana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo wa 4 kwenye hiyo list ni mimi si alikwambia jamaa flani hv alikuwa na rasta enzi hizo ila siku hz sababu ya utu uzima amezinyoa co ee sasa ukome kufukua makaburi mengine utahindwa kuyafukia. by the way ilikua kitambo cku hz kla m2 na familia yake,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom