Rais Magufuli alijua mabaya ya Dr. Dau mpaka kutompangia nchi?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,Ramadhani Dau aliteuliwa kuwa balozi takribani miezi miwili sasa. Dau na balozi mwingine mteule bado hawajapangiwa vituo vya kazi kwenye Balozi za Tanzania.

Kwasasa,unaendelea kuibuliwa ufisadi mkubwa kuhusu NSSF. Kwa mujibu wa tuhuma zinazovuma,miradi mingi ya NSSF ina makandokando ya ufisadi wa kutosha na kutisha.

Je,Rais Magufuli alishazijua kashfa hizi zinazomhusu Balozi Dau na ndiyo maana hakupangiwa bado kituo cha kazi? Jipu hili litatumbuliwaje?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,Ramadhani Dau aliteuliwa kuwa balozi takribani miezi miwili sasa. Dau na balozi mwingine mteule bado hawajapangiwa vituo vya kazi kwenye Balozi za Tanzania.

Kwasasa,unaendelea kuibuliwa ufisadi mkubwa kuhusu NSSF. Kwa mujibu wa tuhuma zinazovuma,miradi mingi ya NSSF ina makandokando ya ufisadi wa kutosha na kutisha.

Je,Rais Magufuli alishazijua kashfa hizi zinazomhusu Balozi Dau na ndiyo maana hakupangiwa bado kituo cha kazi? Jipu hili litatumbuliwaje?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mzee Tupatupa, hili jipu linatumbuliwa kwa staili mpya. Mtumbuaji kwanza anakwenda kupata kilevi kikali, baada ya kutumbua na kilevi kwisha kichwani, anaomba samahani, akisingizia kilevi.
 
Mtoa mada uelewi cheo ubalozi vp aina 2 unaweza kuwa balozi na usipangie nchi na kuwa balozi ukapangiwa nchi. Hilo swala la kutumbua majipu tumwachie Magufuli na majipu yake
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,Ramadhani Dau aliteuliwa kuwa balozi takribani miezi miwili sasa. Dau na balozi mwingine mteule bado hawajapangiwa vituo vya kazi kwenye Balozi za Tanzania.

Kwasasa,unaendelea kuibuliwa ufisadi mkubwa kuhusu NSSF. Kwa mujibu wa tuhuma zinazovuma,miradi mingi ya NSSF ina makandokando ya ufisadi wa kutosha na kutisha.

Je,Rais Magufuli alishazijua kashfa hizi zinazomhusu Balozi Dau na ndiyo maana hakupangiwa bado kituo cha kazi? Jipu hili litatumbuliwaje?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Dau aliteuliwa kuwa balozi siku moja na Dr Asha Rose Migiro na Chikawe. Sasa kwanini unauliza kupangiwa kituo cha kazi Dau lakini huulizi hao wengine?
 
Mtoa mada uelewi cheo ubalozi vp aina 2 unaweza kuwa balozi na usipangie nchi na kuwa balozi ukapangiwa nchi. Hilo swala la kutumbua majipu tumwachie Magufuli na majipu yake
Balozi asiyepangiwa nchi kazi yake ipi? Usione mtu anaitwa Balozi Mwapachu anaishi Tanga ukasema Ni Balozi ambaye hajapangiwa nchi!
 
Back
Top Bottom