Asante Kwa ushauri wako Kaka. Kwa hiyo kumbe ni lazima iwe mwaka ujao wa fedha na siyo mwaka huu Kwa kuwa ni lazima uwekwe kwenye ikama.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu ungetoa ushauri bila kutoa maneno ya kuudhi ungepungukiwa nini?? Any way nashukuru Kwa ushauri wako.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Habari za muda huu wadau. Nilikuwa naomba kufahamishwa Jambo moja kuhusu recategorization Kwa mwenye uelewa na haya mambo.
Mimi nimemaliza chuo mwaka Jana 2019 ,na mwaka huu 2020 mwezi February nilituma vyeti vyangu kwa mwajiri na kumuomba kuhusu kufanyiwa recategorization yaani kuhamishiwa...
Mkuu asante sana kwa darasa zuri.....mm nina gari aina ya vitz , mara nyingi huwa nikiendesha nasikia harufu ya mafuta ya petrol ndani ya gari. hii husababishwa na nini maana tanki la mafuta limefungwa vizuri halina shida ila harufu ya mafuta inaingia ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.