Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Mshahara wa mwezi April umeshatoka?

Sasa kama kwako haujauona na mimi nikakwambia nimeupata utapata relief gani? Vumilia mkuu. By Monday mchanamchana hivi unaweza kuuona kwa account. Life ya pay check to pay check ina changamoto kubwa.
 
Kwa wale watumishi humu ebu tujitahidi kuwa na vishughuri mbadala kwa ajili kujiongezea kipato tofauti na mshahara.
 
Kwa wale watumishi humu ebu tujitahidi kuwa na vishughuri mbadala kwa ajili kujiongezea kipato tofauti na mshahara.
Una uhakika na unacho kinena. Mimi ni polisi wa ngazi ya chini. Nakaa nyumba ya bati. Sina mke. Jirani yangu chumba cha pili ana mke ukuta pazia. Kuna siku yuko night shift mimi niko home. Hebu nipe maarifa. Nitafanya kibiashara gani nijiongezee kipato ?
 
Huna akili.Kachambe ulale. Unafikiri wote wameajiriwa.Pumbavu sana.
Nijuavyo katika wawili. Anae toa tusi na anae tukanwa. Msema matusi ndio mjinga kuliko utumbo wa bata mwenye kwashakoo
 
Una uhakika na unacho kinena. Mimi ni polisi wa ngazi ya chini. Nakaa nyumba ya bati. Sina mke. Jirani yangu chumba cha pili ana mke ukuta pazia. Kuna siku yuko night shift mimi niko home. Hebu nipe maarifa. Nitafanya kibiashara gani nijiongezee kipato ?
Braza hata kulima ka bustani ka sukuma wiki ili uwauzie maaskali wenzako pia inakushinda, hata kufuga kuku wa kienyeji ambao mara nyingi wanajitegemea kujitafutia chakula, tuwe serious basi.
 
Wadau Habari za Muda huu.....Naomba mnijuze Wadau mishahara ya mwezi April imeshatoka au bado kwa yoyote mwenye Kujua anijuze......,,
Kuwa GT,unauliza mishahara kwani wote humu ni waajiriwa? Mishahara sector binasfi au serikalini? Kama Sector binafsi ni kampuni gani sasa? maana kila kampuni inalipa tarehe zake na kama serikalini,ni ipi? Kuu au local? Taja taasisi uliyopo ndio watu watoe jibu usiulize kigeneral as if watu wote wameajiriwa humu.
 
Braza hata kulima ka bustani ka sukuma wiki ili uwauzie maaskali wenzako pia inakushinda, hata kufuga kuku wa kienyeji ambao mara nyingi wanajitegemea kujitafutia chakula, tuwe serious basi.
Kumbe hukunielewa. Mimi mhehe sina shamba Dar. Nakaa Buguruni nyumba za bati au full suit. Bustani nitalima wapi ? Kuku nitafugia wapi ? Naomba wazo jingine. Kumbuka nakaa one room kila upande kuna jirani lkn wakiwasha taa usiku nawaona wao pia wananiona na kunisikia. Sina siri wala faragha
 
Kumbe hukunielewa. Mimi mhehe sina shamba Dar. Nakaa Buguruni nyumba za bati au full suit. Bustani nitalima wapi ? Kuku nitafugia wapi ? Naomba wazo jingine. Kumbuka nakaa one room kila upande kuna jirani lkn wakiwasha taa usiku nawaona wao pia wananiona na kunisikia. Sina siri wala faragha
Ili ufanikiwe jitahidi kwanza kuwa na nia na unachokifanya lkn hata ujaonesha nia umeshakubali kushindwa utaendelea kuishi kwenye full suit miaka yooote
 
Kumbe hukunielewa. Mimi mhehe sina shamba Dar. Nakaa Buguruni nyumba za bati au full suit. Bustani nitalima wapi ? Kuku nitafugia wapi ? Naomba wazo jingine. Kumbuka nakaa one room kila upande kuna jirani lkn wakiwasha taa usiku nawaona wao pia wananiona na kunisikia. Sina siri wala faragha
Why usipange nyumba ya hadhi yako?
 
Nasikia kesho saa tano unaingia.....
Haina kuremba
 
vp jamani wale wa crdb vp mshahara umetoka au bado sina sm banking.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom